Karibuni Tabora asali inakotokea

Karibuni Tabora asali inakotokea

Kasie Tabora sehemu gn? Nilikaa miaka 4 huko.

Aisee I love nyamwezi ladies
 
Siwezi kuitumia, nilivuruga password kwa kughafirika nilipo rudi kuwa sawa sikuweza kuikumbuka password. Backup email niliyo tumia kwenye ID ya Kasinde password yake pia niliivuruga. Niliwaomba mods waiunge ID ya Kasinde na hii ya Kasie ili iwe moja naona imeshindikana maana hawajafanya hivo.

Hivo naendelea na hii ya Kasie japo natamani sana ile ya Kasinde iunganishwe na hii ya Kasie.
Niliipenda ile.
ever smiling kasiee
 
Ooyeeeh. Ooh haina tabu bado sie ni wamoja, wanyamwezi na wasukuma ni walewale ni mtu na binamu yake hivyo hatudhuriani.

Ooh haina shaka, nashukuru kwa mualiko ntafika huko kigamboni, ngoja nichungulie ratiba yangu nione wapi naweza kuweka miadi.
Poa, ntafarijika mnoo ukifika.
 
Niliipenda ile.
ever smiling kasiee

Hahahahaaa hata sasa bado ipo, ever smiling Kasie si waona kwa avatar tabasamu bado ni lilelile.

Sema signature siku hizi sioni kwenye kila thread ni hadi uingie kwenye profile ya mtu.

How are you lakini?
 
kumbe tumekazwa na Vyuma ..
zamani watu walikuwa wanakazwa na popobawa
sikuhizi wanakazwa na Vyuma daaahhh '''
ccm imetuletea maendeleo ..mkuu
 
Hahahahahaa kumbe wewe ni mnyamwezi mwenzangu hehehehehehee mwangalukah! Ulimholaaa. ....

Kwetu ni karibu na Itigi unatembea kwa miguu tuu.

Wamilemoo Nokia.
Hivi kuna wanyamwezi na wankonongo?
 
kumbe tumekazwa na Vyuma ..
zamani watu walikuwa wanakazwa na popobawa
sikuhizi wanakazwa na Vyuma daaahhh '''
ccm imetuletea maendeleo ..mkuu

Hahahahaaa ndo msemo unaobamba sasa hivi hata mkulu mwenyewe alisema tuvilainishe hivyo vyuma ili msuguano usituchubue au kuumiza heheheheh

Utakuja kusikia huko gereji grisi imeadimika na madukani imepanda bei aaahahahahhahaa
 
Hahahahaaa ndo msemo unaobamba sasa hivi hata mkulu mwenyewe alisema tuvilainishe hivyo vyuma ili msuguano usituchubue au kuumiza heheheheh

Utakuja kusikia huko gereji grisi imeadimika na madukani imepanda bei aaahahahahhahaa
hahaaa daahhh kwahiyo grisi sikuhizi imekuwa deal namna hiyo .
kasie acha namimi nikatafute zangu kabla hazijaisha
 
hahaaa daahhh kwahiyo grisi sikuhizi imekuwa deal namna hiyo .
kasie acha namimi nikatafute zangu kabla hazijaisha

Hehehehehe wapi mapema mwaya, sass hivi grisi itakuwa dili kuliko makinikia na itakuwa bidhaa muhimu kuliko sukari.
 
Back
Top Bottom