Karibuni Songea

Ushirikina kila sehemu upo usisingizie Songea tu mbona Sumbawanga wanasifika sana lakin je hakuna wageni na wamefanya maendeleo makubwa tu. Lakin hoja yako ya kutokua na chuo kikuu haina mashiko kwan kuna mikoa mingapi haina vyuo vikuu lakini wanaishi tu. Acha wivu na Dharau za kijinga karibu tule ulusiti a.k.a wakurya wanaita kichuri
 
Huyo tunampa moja tuu, DOLIYANYOKO.
 
Weeeeee usiniambie!!!
Bomba mbili mitaa yangu, mwaka 2002 nilikuja likizo huko kuzurura nikatoka Mfaranyaki kufata Ngongoti kulikuwa na promotion ya Sabuni za Komoa. Ikafika saa 1 home nilipofika hawanioni wakati sehemu zangu za kucheza ilikuwa Kisiwa Garage,Pale Parking kwa Mfamaji,Majimaji stadium.

Narudi home nakuta watu wapo mbele ya nyumba wanajadili namna ya kunitafuta wanajua nilipotea, na nyumba ile ilikuwa ni ya mtu anayefahamika mji wote, kesho yake raia wakajua nilipotea au kusahau nyumba.
 
Kwahiyo wakakupa jina shehe ubwabwa
 
Duh wakunyumba achana na watu wa songea
nakwambia kwetu wamenyolewa kipindi hicho na kalembwani piga mapala yakutosha lkn wapi
ndio kwanza wamechochewa yan ni shida kweli kweli
hatariii tupuuu.
 
Haahaa
huyo super charger nimesikia alipata scandal ya kupita na mke wa mjeda, wajeda nao wakapita nae. Nasikia alikuwa hoi hadi alilazwa
Wajeda wa 4 walimla mande, mtungo huo, alilazwa peramiho, kakaa week 3 alivyopona akaenda Arusha, kakaa km miezi 3 aibu ilipoisha alirud, ila huduma mara nyingi wako wasaidizi wake.

 
Urustiii km urustii,

Umkute saibogi kautengeneza vizuri, wee namaliza hela yangu hapoo.
 
Wajeda wa 4 walimla mande, mtungo huo, alilazwa peramiho, kakaa week 3 alivyopona akaenda Arusha, kakaa km miezi 3 aibu ilipoisha alirud, ila huduma mara nyingi wako wasaidizi wake.

Daaah, mke wa mtu sumu, nitamtafuta kwenye simu. Mdogo wake alikuwa anaimba anaitwa Tabla kuna wimbo alimshirikisha Ben Pol ukahit kipindi hicho.
 
Mimi nipo hapa mpitimbi mission nacheza dogoli huku nikiwa na bakuli la mbege,afu kwa mbali naona mbali naona akina mama wakicheza mandilu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…