Karibuni Songea

Songea itabaki kuwa mkoa wangu wa kihistoria,Rest in peace mzee Ok (Ok Hotel)jirani na Krista Park, Songea mjini mtamu sana πŸ™
 
@

Nenda kwa mzee kajomela kule mshangano/chandarua huukosi msimu wote
Nimepewa direction maeneo ya Lipupuma s/msingi kwa mzee nani sijui ila nitauliza nifike, anao wa kutosha by badae naenda kuzimua mkuu
 
Jamani huku mnakunywa pombe khaaa!!

Mbinga kila kona bar au banda la kitimoto


Na hii ya kuwa na ma lodge/gest kila kona ni wazi kuwa wadau wanapenda kunyanduana
 
Jamani huku mnakunywa pombe khaaa!!

Mbinga kila kona bar au banda la kitimoto


Na hii ya kuwa na ma lodge/gest kila kona ni wazi kuwa wadau wanapenda kunyanduana
Hebu ngoja mawardat
, vp kwanza pale kwa Malumba sijui Mwalumba pembeni ya Makita sec ile baa/kilabu bado kipo?
 
Jamani huku mnakunywa pombe khaaa!!

Mbinga kila kona bar au banda la kitimoto


Na hii ya kuwa na ma lodge/gest kila kona ni wazi kuwa wadau wanapenda kunyanduana
Songea mjini hasa pembezoni, bombambili had msamala, guest had za buku 3 zipooo


Famchezo nn.
 
Ulikuwa na unaishi mahenge kalibu na Juma pandu??
 
kipindi cha kiangazi kama ni mtu wa peku peku funza unao.
Ila kitimoto ya songea ni tamu balaa unakula nyama unasikia harufu ya nguruwe, sio dar unakula nyama uku unasikia harufu ya panadol
 
Ni kweli haijachangamka Songea haina majengo mazuri wala starehe nyingi..ila binafsi nimependa utulivu,hali ya hewa safi ,ardhi nzuri yenye rutuba y, kutosha na utafutaji wa maisha kama ukiwa na connection Dar unachomoka haraka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…