Karibuni Open university of Tanzania

Karibuni Open university of Tanzania

Walio apply may majibu yanatoka lini boss?
Nahisi kwa sasa system zimebadilika kidogo ila nadhani wakati mnajisajili uliweka pia e-mail yako kwenye informations kwahiyo wakishatoa selections wanatuma na email kwako. Ila pia ukifika either kwenye center yako kama uko mkoani au kama unaishi DSM fika Headquarters pale Kinondoni Biafra watakupa feedback kamili au tembelea website ya chuo huwa wanatoa kule pia majina au tangazo kuwa ni lini. www.out.ac.tz
 
Hayo mawazo yako mimi sina kazi wala nini ila nipo Open sio wote wana kazi wanao soma open
Tuko pamoja ndugu, niko pale pia kama fresh from high school, form six na sio muajiriwa. Tena tuko wengi sana wa type hii kwanzia foundation courses mpaka masters degree.
 
Haswa ila kwa vijana wanaojielewa chuo kizur sana
Tena wanao jielewa kweli kweli, ukijiandaa kwa kupewa lectures na walimu au mitihani kuwa "open book exams" utapata tabu sana. Ni chuo kitakacho kufanya ujitafutie materials japo unaweza kufanya consultations kwa walimu mda wowote wa kazi na ushirikiane na wengine kwa kiwango cha juu sana. Na pale kuna wanafunzi ambao ni watu mashuhuri na wakubwa serikalini so kwa kijana ambaye anachipukia kwenye mchongo wowote anaweza kupata connections if possible in future.
 
UBAYA WA OUT KWA DEGREE NI HAKUNA LOAN / MKOPO KWA WANAFUNZI SO UNAJILIPIA ,
Brother sijui umepata wapi taarifa zako ila watu wana apply vizuri tu na mimi ni mmoja wapo since 2016. Ila kuwa informed vizuri itasaidia kutokata tamaa. Just understand kile ni chuo kikuu cha umma na wanafunzi wake wanapatiwa huduma za kawaida kama vyuo vingine. Na pia pale kuna utoaji wa grants maalum kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza wenye ufaulu mzuri na shida maalum, but hii huduma ni special kwa chuo pekee kutoa hizi fedha.
 
Nahisi kwa sasa system zimebadilika kidogo ... kama unaishi DSM fika Headquarters pale Kinondoni Biafra watakupa feedback kamili au tembelea website ya chuo huwa wanatoa kule pia majina au tangazo kuwa ni lini. www.out.ac.tz

Siku Open University ikiwa *OPEN* kweli (as in, HURIA, kila anayetaka kusoma RUKSA. Ada na juhudi zake zinaamua atatoka na cheti kipi au atatoka kapa), unitag mkuu.
 
Chuo chetu mijizee
ic Open ya lini unasema hiyo? njo uone mwenyewe vijana wanaojitambua wako open, wanafanya biashara, wanafanya kazi huku wanasoma!! tena under 30 ndio wengi!! mimi nina data!
 
Hivi mkuu vipi ni rahisi kupiga mwaka au semester moja open.... Then ukahamia chuo kingine cha kawaida tofaut na open... Na ukapokelewa vizuur
 
Open university ndiyo chuo ambacho utasoma huku ukiendelea na kazi ama business , huna sababu ya kuomba ruhusa!! ahsante aliyeleta tangazo tena kuanzia foundation - PhD
 
Kabisa mkuu watu hawakijui vizr chuo chetu
Tuko pamoja ndugu, niko pale pia kama fresh from high school, form six na sio muajiriwa. Tena tuko wengi sana wa type hii kwanzia foundation courses mpaka masters degree.
 
Ukweli ndiyo huo mkuu, wengi wanaokuja OUT wamekosa ruhusa kazini mambo ya kujielewa mleta mada ameamua kutuuzia chai tu

Mawazo mgando haya na yanatokana kutopenda kujifunza, kama hapa imeonekana huelewi kabisaa nini maana ya elimu masafa (ODL)!!

OUT ndiyo chuo cha pili kwa Ubora ukiachia UNISA ya South Africa!!
 
Back
Top Bottom