Huyu Wa bure atKwani mwanamke yuko mmoja?
Afu mamba wa kwetu ata hawang'ati sana!
Mchezo wa chupa hebu fafanua unakuwaje?
Hahahahahaaa!
Bulldog kuja kwenu haina shida yoyote wala usijali! But King majuto alisema "mtu huondoa mwiba wa makalioni kwanza ili akae kitako na kuutoa mwiba wa mguuni!"
Kwani na kwenu kuna njia mbaya Bulldog?
Hahahahahaaaa!
Njoo bhana usiogope! Huku fulu neema!
Na hata ukidondoka mamba wa kwetu hawang'ati sana!
Afu mamba wa kwetu ata hawang'ati sana!
Vya bure gharama yake ni kubwa...Huyu Wa bure at
Hiyo luku inauzwa wapi mkuu? Inaonekana ni "new model"...Hehehehe wan sipidi Havana?ehehe
Tuwekee kwanza japo sampo ya hao vimwana, kama wanalipa nitakujaKhaa! grafani11! Usiniambie na wewe unaogopa kuvuka hilo daraja!
Just jiamini tu, hilo daraja liko imara sana!
Khaa! Usiwe mchoyo kiasi hicho Dina! Au wewe ni anti social?
Karibu tujumuike pamoja, tule bata hadi kuku waone wivu! Nitakua mwenyeji wako!
Hahahahahaaaa! Mamba wa kwetu wanatembea kimisi, hawana spidi, fullu pozi!
...
Gwijimimi mambo vipi?
Umepotea sana kiongozi!!!
Hahahahahaaaa! Mamba wa kwetu wanatembea kimisi, hawana spidi, fullu pozi!
...
Gwijimimi mambo vipi?
Umepotea sana kiongozi!!!
Hahahahahahaaaa! Usiogope kashesho! Kama wewe sio kibonge sana nitakubeba mgongoni kukupeleka na kukurudisha! Istooshe, nitakuambia ufumbe macho!
Karibu kwangu kashesho!
Potelea mbali....kama kuwa social ni kuning'iniza roho yangu kwenye hizo kamba acha niwe anti-social for good.
Nipo ndugu
Umeniua sana Leo
Lazima nikutimbie maghetoni mwanangu mwenyewe hahaha
Nishaufahamu ila sisi hatukuwa tunaimba tunaenda kimya kimya, halafu nakuongezea mchezo mwingine sijui wewe ushawahi ucheza mnatafuta tairi(uswazi tunaita pila) ambalo halina rim mmoja anaingia kati wengine nje wanalisukuma. Mchezo mwingine sarakasi za kudunda na pila, kutembea na mikono(kichwa chini miguu juu), kujibinjua kwa nyuma mikono hadi inashika sakafu, mara beki daa hadi raha. Watoto wa siku hizi michezo yao Playstation tofauti na sisi michezo yetu lazima uwe fiti damu inachemka huwezi lia dushelele haliinuki mara nini sijui.Kichupa ni mchezo wa kutoa uoga!
Unasimama na unaelingana nae kimo/urefu, mnapeana migongo,
mnafungana mikono kwa kutumia visigino/vipepsi ><
alafu unainama chini mwenzako anakua juu ya mgongo wako, kila ukiinama chini unamuinua juu kinyume nyume, alafu unamrudisha na anakuinua yeye huku mnaimba: m1 anaimba "kichupa" mwengine anaitikia "cha mafuta mazuri" ivo ivo mpaka mnachoka na kuanza mchezo maalum!