Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,825
Salama wakuu?.......
Nawakaribisha katika mtaa wetu huu wa mangoma(music boulaverd).....
Hapa tutajikumbusha mangoma yaliyotamba kipindi kileeee cha miaka ya 80 na 90 mwanzoni(91-92). Tutaaangalia wanamuziki/vikundi vilivyotamba enzi hizo,kumbi za muziki bongo zilizotamba enzi hizo,ma DJ waliotamba enzi hizo pamoja na wacheza Disco waliotamba enzi hizo(ambao walicheza mitindo kama Chacha, Beak Dance, Roboti, Bumping, Michael Jackson Style) ....
Leo nianze na ma DJ waliotamba enzi hizo pamoja na kumbi walizokuwa wakifanya vitu vyao.....
- DJ Chris Phaby "The Lover"- Huyu alikuwa anafanya vitu vyake Mbowe/Margott...
- DJ Ngomely, na DJ Kim(Abdulakim Magomelo),DJ Pop Juice- Hawa walikuwa wakifanya vitu vyao pale Rungwe Oceanic Beach Resort...
- DJ John Peter Pantalakis(JPP), DJ Choggy Sly na DJ Kalikali- Hawa walikuwa wakifanya vitu vyao Silver Sands na baadae wakahamia YMCA..
- DJ Eddy Sally na DJ Sweet Francis- Hawa walikuwa wakifanya vitu vyao pale Keys Hotel....
- DJ Seydou na DJ Yaphet Kotto- Hawa walikuwa wakifanya vitu vyao RSVP Club(RSVP Discotheque) a.k.a Mbowe...
- DJ Super Deo, DJ Paul MacGhee, DJ Joe Johnson Holela na DJ Young Millionaire- Hawa walikuwa Vision 200 Discotheque...
- DJ Mehboob- Yeye alikuwa Africana....
- DJ Emperor(Joseph Kusaga), DJ Bonny Luv na DJ Jesse(Mawingu Disco)- Hawa alikuwa akifanya vitu vyake pale New Africa Hotel....
- DJ Justin Kusaga - wa Mawingu/Clouds Disco pale Morogoro....
- DJ Nigger Jay(Masoud Masoud) - Yeye alikuwa pale YMCA....
Mimi nawakumbuka hawa kwa sasa,naomba tuendelee kujuzana wakuu wangu....
Karibuni sana kwenye Mtaa wa Mangoma....
Bala.
-
Nawakaribisha katika mtaa wetu huu wa mangoma(music boulaverd).....
Hapa tutajikumbusha mangoma yaliyotamba kipindi kileeee cha miaka ya 80 na 90 mwanzoni(91-92). Tutaaangalia wanamuziki/vikundi vilivyotamba enzi hizo,kumbi za muziki bongo zilizotamba enzi hizo,ma DJ waliotamba enzi hizo pamoja na wacheza Disco waliotamba enzi hizo(ambao walicheza mitindo kama Chacha, Beak Dance, Roboti, Bumping, Michael Jackson Style) ....
Leo nianze na ma DJ waliotamba enzi hizo pamoja na kumbi walizokuwa wakifanya vitu vyao.....
- DJ Chris Phaby "The Lover"- Huyu alikuwa anafanya vitu vyake Mbowe/Margott...
- DJ Ngomely, na DJ Kim(Abdulakim Magomelo),DJ Pop Juice- Hawa walikuwa wakifanya vitu vyao pale Rungwe Oceanic Beach Resort...
- DJ John Peter Pantalakis(JPP), DJ Choggy Sly na DJ Kalikali- Hawa walikuwa wakifanya vitu vyao Silver Sands na baadae wakahamia YMCA..
- DJ Eddy Sally na DJ Sweet Francis- Hawa walikuwa wakifanya vitu vyao pale Keys Hotel....
- DJ Seydou na DJ Yaphet Kotto- Hawa walikuwa wakifanya vitu vyao RSVP Club(RSVP Discotheque) a.k.a Mbowe...
- DJ Super Deo, DJ Paul MacGhee, DJ Joe Johnson Holela na DJ Young Millionaire- Hawa walikuwa Vision 200 Discotheque...
- DJ Mehboob- Yeye alikuwa Africana....
- DJ Emperor(Joseph Kusaga), DJ Bonny Luv na DJ Jesse(Mawingu Disco)- Hawa alikuwa akifanya vitu vyake pale New Africa Hotel....
- DJ Justin Kusaga - wa Mawingu/Clouds Disco pale Morogoro....
- DJ Nigger Jay(Masoud Masoud) - Yeye alikuwa pale YMCA....
Mimi nawakumbuka hawa kwa sasa,naomba tuendelee kujuzana wakuu wangu....
Karibuni sana kwenye Mtaa wa Mangoma....
Bala.
-