HAina mvuto wa ki-hotelNi hoteli ya kisasa ambapo mtalii unaweza kujionea wanyama mbalimbali kama swala pala, zebra , nyumbu ngiri na jamii ya wanyama wengi wala majani.
Ipo katika eneo lenye takribani hekta 1200.
N:B msiniulize mmiliki ni nani maana simjuwi.View attachment 2008177View attachment 2008178View attachment 2008179View attachment 2008180
Hiyo ni hoteli ya magu na aliijenga waziwazi jamani wala hakuficha,hebu tumwache apumzikeNi hoteli ya kisasa ambapo mtalii unaweza kujionea wanyama mbalimbali kama swala pala, zebra , nyumbu ngiri na jamii ya wanyama wengi wala majani.
Ipo katika eneo lenye takribani hekta 1200.
N:B msiniulize mmiliki ni nani maana simjuwi.View attachment 2008177View attachment 2008178View attachment 2008179View attachment 2008180
Hiyo ni hoteli ya magu na aliijenga waziwazi jamani wala hakuficha,hebu tumwache apumzike
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
HAina mvuto wa ki-hotel
Ziko 8 mkuu...huyu jamaa alikuwa mpigaji balas
Mkuu, achana naye huyo! Kisha VURUGWA!Sasa mbona unatufokea mkuu kwanini sisi ndio tumeweka mlima mrefu pale kilimanjaro?
Unaiba hela za wananchi halafu unampa mkandarasi Fundi Maiko,ndio matokeo yake hayoView attachment 2008191
Hicho ki veranda kwenye duara ni cha kazi gani?
Aseee akiwa rais anajenga hotel? Yaan kwa akili yake alidhani hotel ni biashara ya hadhi yake? Kweli ni mwenzake tu! Nyingine ziko wap pengine siku nibahatike kulala kwanza usikute mzim wake huwa unaztembeleaZiko 8 mkuu...huyu jamaa alikuwa mpigaji balas
[emoji2][emoji2][emoji2] alikua anabadilika badilika kama kinyonga kulingana na mahali alipoHahah na alikua anajifanya ni mzalendo mara ni kiongozi wa mama ntilie na bodaboda,mara nyingine alikua anajifanya ni kiongozi wa malaika.
Kwahiyo marehemu alikuwa anamuiga yule mwarabu wa dubai?Watu hawaelewi yule mwarabu loliondo kipindi chake kapeleka wanyama kibao dubai,mpk sasa dubai kuna bonge la zoo na wanyama wetu hawahawa.
Sawa mimi nilkua sijui kama ni ya magufuliHiyo ni hoteli ya magu na aliijenga waziwazi jamani wala hakuficha,hebu tumwache apumzike
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Labda imekaa kisukuma zaidi ili kuvutia local touristHAina mvuto wa ki-hotel
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]Acheni kunitafuta, vifaa vyote vilivyotumika kujenga ni vya hapahapa Tanzania, wanyama ni wetu sote na hela za kujengea ni za ndani* sasa shida iko wapi!
Kumbe nae alikua anaupenda utajiri sasa kwanini alijifanya anawachukia sana matajiri na kwamba anawapenda sana masikini?Mkuu kuanzisha zoo haina shida mtu yeyote anaweza kuanzisha tu bila shida na hao wanyamapori unauziwa kawaida kwa maana utapewa kibali ni biashara rasmi ndani ya Tanzania na kama kuna Mtanzania anahitaji kufanya hii biashara aende Wizara ya Maliasili na Utalii atapewa utaratibu mzima so kuwa Chato au mmiliki katoka wapi sio issue labda useme vibali sio sahihi.
Hahah nilikua natafuta namna ya kumuelezea Ila wewe ndio umemuelezea tabia zake kabisa mkuu.[emoji2][emoji2][emoji2] alikua anabadilika badilika kama kinyonga kulingana na mahali alipo
Atakua alitumia force account mkuu.Unaiba hela za wananchi halafu unampa mkandarasi Fundi Maiko,ndio matokeo yake hayo
Alijitahidi kuvunja unjam kaskazini, wanasiasa, matajiri, uchumi, bureude change na banks, viwanda na mashamba ya maua, mbogamboga ,na kuuwa soko na Kenya!!Alitaka kutumia wale wachina waliohamisha magorofa waje kuhamisha huo mlima waupeleke chato. ( Eti sio lazima Ile utalii uliozoeleka wa kaskazini tu hata kwingineko wazoee)
Utadhani Kama huyo mtalii akija huko kaskazini Kama sio Tanzania Bali ni Kenya.
Yaani jamaa kwa hapa sikumbali Ila yapo mengi nilimkubali sana
Huo Ni wivu Sasa, hakua Moshi ufaidi kukaa karibu na Kilimanjalo,Bado miaka michache huo mlima barafu inaisha. Tuone sasa mtakacholingia. Mlima mlima ! Hadi mnakera. Chato ni wilayani na pataendelea kuwa mji na huenda iko siku itaizidi Moshi ambayo imedumaaa na ardhi hakuna.