Karibuni Chato Zoo and Hotel

Sir John Deere

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2017
Posts
14,222
Reaction score
27,439
Ni hoteli ya kisasa ambapo mtalii unaweza kujionea wanyama mbalimbali kama swala pala, zebra , nyumbu ngiri na jamii ya wanyama wengi wala majani.

Ipo katika eneo lenye takribani hekta 1200.

N:B Msiniulize mmiliki ni nani maana simjuwi.
 
Mkuu kuanzisha zoo haina shida mtu yeyote anaweza kuanzisha tu bila shida na hao wanyamapori unauziwa kawaida kwa maana utapewa kibali ni biashara rasmi ndani ya Tanzania na kama kuna Mtanzania anahitaji kufanya hii biashara aende Wizara ya Maliasili na Utalii atapewa utaratibu mzima so kuwa Chato au mmiliki katoka wapi sio issue labda useme vibali sio sahihi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…