Mkuu kuanzisha zoo haina shida mtu yeyote anaweza kuanzisha tu bila shida na hao wanyamapori unauziwa kawaida kwa maana utapewa kibali ni biashara rasmi ndani ya Tanzania na kama kuna Mtanzania anahitaji kufanya hii biashara aende Wizara ya Maliasili na Utalii atapewa utaratibu mzima so kuwa Chato au mmiliki katoka wapi sio issue labda useme vibali sio sahihi.