kupe
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 1,035
- 326
inasemekana zaidi ya 100% maisha yao yaantegemea deal. Deal ni nini? Deal ni (WIZI). Kuanzia watanzania wa ngazi za juu, waajiriwa na waliojiajiri wanaishi kwa kutafuta deal ambazo kwa asilimia mia ni wizi . Na hata ambao hawapigi deal ni kwamba wanatamani ila tu waoga au wamekosa hiyo nafasi ya kupiga deal au kuiba