Karibu umwimbie mpenzi wako

Karibu umwimbie mpenzi wako

Mpenzi wangu ni pesa kisha vingine vyote nanunua hivyo wimbo unaotamba kwangu ni huu; Wacha waisome nambaeeee Ccm mbele kwa mbele Haka ka wimbo hakachuji kabisa.
 
Asante Kwa ukarimu wako Na kutunga shairi murwaa
Ubarikiwe Kiongozi...

Wewe na Familia yako uendelee kuwa Mwongozi...

Mwenyezi Mungu kwako wewe awe Mwokozi...

Uwe mwenye furaha tele na si Majonzi...
 
Ubarikiwe Kiongozi...

Wewe na Familia yako uendelee kuwa Mwongozi...

Mwenyezi Mungu kwako wewe awe Mwokozi...

Uwe mwenye furaha tele na si Majonzi...

Ameen mkuu.Dua hili liwe Kwa sote,
 
Make a wish, and you will be granted, say a word and I will listen , hold my hand and I will take you wherever you wanna go,
Say you love me and i will be grateful say you won't never leave me alone ,

Love meeee *3
Promise meeee*3
That you won't never leave me alone *2

My very own song
 
Nampenda mpenz wangu katu simwachiii
Mtasemaa mtachoka hatokiii
Nampendaa mpenz wangu katu simwachiii
Mtasemaa mtachoka hatokii

Mnataka kunitia mshawaaashaaa
Fikira zeenu hazipandi wala hazishuki
Bure hiyoo
Nampenda kwa vyovyotee simshukuuu
Naeleza nyotee muueeleeeweee

Lalalalalallaaa Lalalalalallaaa
Lalalalalallaaa lalalalla
........................

Raha ni raha ni hizi si raha za kuigizaaa
Raha mimi na mpenzi yote tushayatimiiizaaa
Kubaliniii mtupe zote poongeziii
Tumeshindaa na bado twaongezaaa

Nakupenda mpenz wangu Smart911
Kasinde nimekupenda bure
 
Nampenda mpenz wangu katu simwachiii
Mtasemaa mtachoka hatokiii
Nampendaa mpenz wangu katu simwachiii
Mtasemaa mtachoka hatokii

Mnataka kunitia mshawaaashaaa
Fikira zeenu hazipandi wala hazishuki
Bure hiyoo
Nampenda kwa vyovyotee simshukuuu
Naeleza nyotee muueeleeeweee

Lalalalalallaaa Lalalalalallaaa
Lalalalalallaaa lalalalla
........................

Raha ni raha ni hizi si raha za kuigizaaa
Raha mimi na mpenzi yote tushayatimiiizaaa
Kubaliniii mtupe zote poongeziii
Tumeshindaa na bado twaongezaaa

Nakupenda mpenz wangu Smart911
Sifa kibao nishasema, yote sababu nimezama
Uzuri wako ndo unazidi nipa homa
Haki ya nani mi nitakatia bima
Mi sisikii napata raha
Nitasubiri more honey
Na sioni, baby karaha
Long time nimedata nawe


[Pre-Chorus]
Wajua kwako mi mtoto tu
Na jina lako nitachora tattoo
Ushanifit changu kiatu
Wajua baby vile I love you
Wajua kwako mi mtoto tu
Na jina lako nitachora tattoo
Ushanifit changu kiatu
Wajua baby vile I love you



[Chorus]
Baby, mamii jina gani ni sawa?
Nikuite nani, darling?
Tell me, kwako ikawe dawa



[Verse 2]
Kama zawadi nitakupa dunia, uitawale mama we (eiyeh)
Mfano wa bahari juu mamii naelea nimejifia kwako we (eyeh)
Ukamilishe uzima wangu, ukamilishe na nyumba yangu
Ukawe amani ya moyo wangu milele eyei yei



[Pre-Chorus]
Wajua kwako mi mtoto tu
Na jina lako nitachora tattoo
Ushanifit changu kiatu
Wajua baby vile I love you
Wajua kwako mi mtoto tu
Na jina lako nitachora tattoo
Ushanifit changu kiatu
Wajua baby vile I love you

[Chorus]
Baby, mamii jina gani ni sawa?
Nikuite nani, darling?
Tell me, kwako ikawe dawa



[Bridge]
Mboni yangu ina jina lako wewe
We jela yangu nimejifunga mwenyewe
Watose wote sitopenda uchezewe
Nakudhamini mimi
Mboni yangu ina jina lako wewe
We jela yangu nimejifunga mwenyewe
Watose wote sitopenda uchezewe ehee

[Chorus]
Baby, mamii jina gani ni sawa?
Nikuite nani, darling?
Tell me, kwako ikawe dawa


I love you Kasinde
 
Sifa kibao nishasema, yote sababu nimezama
Uzuri wako ndo unazidi nipa homa
Haki ya nani mi nitakatia bima
Mi sisikii napata raha
Nitasubiri more honey
Na sioni, baby karaha
Long time nimedata nawe


[Pre-Chorus]
Wajua kwako mi mtoto tu
Na jina lako nitachora tattoo
Ushanifit changu kiatu
Wajua baby vile I love you
Wajua kwako mi mtoto tu
Na jina lako nitachora tattoo
Ushanifit changu kiatu
Wajua baby vile I love you



[Chorus]
Baby, mamii jina gani ni sawa?
Nikuite nani, darling?
Tell me, kwako ikawe dawa



[Verse 2]
Kama zawadi nitakupa dunia, uitawale mama we (eiyeh)
Mfano wa bahari juu mamii naelea nimejifia kwako we (eyeh)
Ukamilishe uzima wangu, ukamilishe na nyumba yangu
Ukawe amani ya moyo wangu milele eyei yei



[Pre-Chorus]
Wajua kwako mi mtoto tu
Na jina lako nitachora tattoo
Ushanifit changu kiatu
Wajua baby vile I love you
Wajua kwako mi mtoto tu
Na jina lako nitachora tattoo
Ushanifit changu kiatu
Wajua baby vile I love you

[Chorus]
Baby, mamii jina gani ni sawa?
Nikuite nani, darling?
Tell me, kwako ikawe dawa



[Bridge]
Mboni yangu ina jina lako wewe
We jela yangu nimejifunga mwenyewe
Watose wote sitopenda uchezewe
Nakudhamini mimi
Mboni yangu ina jina lako wewe
We jela yangu nimejifunga mwenyewe
Watose wote sitopenda uchezewe ehee

[Chorus]
Baby, mamii jina gani ni sawa?
Nikuite nani, darling?
Tell me, kwako ikawe dawa


I love you Kasinde

I love you too Smart911 mmwaaahh! !
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom