KARIBU TUWEKEZE SHAMBANI PAMOJA

KARIBU TUWEKEZE SHAMBANI PAMOJA

rr4

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2015
Posts
3,947
Reaction score
5,857
Wakuu habari za leo.

Kama Kuna mtu ana wazo la kulima ufuta, mahindi, kunde and the like Nina eneo la ekari 6 Kabuku.

Nataka kuotesha malimao lakini apatikane mtu wa kulima masika na vuli mpaka malimao yakue then yanafanyiwa budding.

So mtu atakayepatikana ataingia cost za kusafisha shamba ndio alime.

Pia ni sehemu nzuri ya ufugaji wa kuku , Bata, mbuzi , kondoo na sungura wa kitoweo.

Maji ni uhakika. Ukichimba MITA 4 tu maji kibao na hayana chumvi Wala magadi. Fresh kabisa kwa matumizi yote.


 
Mkuu uko serious na hujataja shamba liko maeneo gani ama tu mkoa gani
 
 
Huyo mtu atalima kwa mda gani hadi akukabidhi shamba lako , hizi mambo za kusafisha mapori nazijua sana
 
Mkuu hongera kwa kuanza hatua za kuanza kujikwamua kiuchumi kupitia sekta ya kilimo,ila ningekushauri hilo shamba lima mihogo kwa maana uwanda huo mpaka mkata ndio zao lenyewe na milimao itakuwa vizuri kabisa bila shida yoyote.
 
  • Thanks
Reactions: rr4
Shamba unaweza kufuga vitu vingi.
file_000000000b3862308937f1ead55b6ae2_conversation_id=68091343-a750-8008-8ade-5ee2284043c5&mes...PNG
 
Safi sana
Mimi kidogo niko nje ya mada baada ya kuona umezungumzia limao.
Sisi kwetu tunalima limau na ndimu sana lakini changamoto ni soko (hakuna bei), hadi kufikia bei ya juu maana yake msimu umeisha.
Nawezaje kuhifadhi ili niuze baada ya msimu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom