Mbona haifunguki mkuu na mimi nataka ni applyingia web site ya necta jisajili now
KE_PCM_ECE point 13,sijui watamchagua au ndio tumftafutie genge la nyanya maana pesa ya diploma hamna?
KE_PCM_ECE point 13,sijui watamchagua au ndio tumftafutie genge la nyanya maana pesa ya diploma hamna?
Hawezi
watamchagua tu aisee, najua TCU watatoa ufafanuzi zaid, AEE sawa na 6 points, naona tuwe na subira tusubr tamko na TCU guide bookYaani TCU hawataki kuona E kati ya masomo 2 yanayohesabiwa point hata kama ana AEE chuo atakisikia kwa wenzake.
Nikweli mkuu ngoja tusubili yani mtu awe na DDF sawa na point 4 aende chuo.Halafu mwenzake awe na AEE ana point 7 asiende chuo,haya yatakuwa maajabu mengine duniani.watamchagua tu aisee, najua TCU watatoa ufafanuzi zaid, AEE sawa na 6 points, naona tuwe na subira tusubr tamko na TCU guide book
Apo si ana point nne kwa maana ya C na E mbona chuo anaenda tu maana TCU walisema point 4Kijana wangu amepata
Division three 14 form six (Songea Boys hhkk)
Chemistry-S
Geography-E
Biology-C
Siwezi kumsomesha Diploma,ada ni kikwazo.
1.Je,anaruhusiwa kurisiti mtihan 2017?
2.Nakama anarusiwa taratibu zikoje?
MSAADA TAFADHALI
hata huu ushauri wa kusubiri TCU ni msaada wa harakaUsipende misaada ya haraka. Tulia kwanza TCU watoe Guide Book
I stand to be corrected nilichoelewa mimi ni two principles na uwe na point 4 wakatoa mchanganuo kwamba A 5,B 4, C 3, D 2 na E 1..wangekua hawataki E wasingeieka kama ina point 1 kwa maana hiyo basi mtu mwenye A na E atakua na point 6 na hivyo kukidhi vigezo...correct me if am wrongChuo Wanataka mtu kuanzia D mbili..
Mkuu ngoja tusubili guide book,na ndugu zangu wawili mmoja ana CEE comb ya PCM ni binti,na mwingine ana AEE ni mvulana.But kwa tarifa nimezosoma kwenye web ya TCU wanataka mtu awe na D mbili.Kwa maana kuwa mwenye DDF ana point nne ataenda chuo.Lakini mwenye AEE ana point 7 hatoenda chuo,haya kiukweli ni maajabu.Ngoja tusubili guide book tuone muongozo wao.I stand to be corrected nilichoelewa mimi ni two principles na uwe na point 4 wakatoa mchanganuo kwamba A 5,B 4, C 3, D 2 na E 1..wangekua hawataki E wasingeieka kama ina point 1 kwa maana hiyo basi mtu mwenye A na E atakua na point 6 na hivyo kukidhi vigezo...correct me if am wrong