Karibu tukuhudumie kwenye sherehe yoyote

cagu

Member
Oct 27, 2010
79
12
Kampuni ya EDADE'S Decoratiion, Catering, Cake, MC na muziki inakukaribisha wewe mteja kukuhudumia kwa gharama nafuu kabisa haijawahi tokea na huduma zote ni za uhakika na zakuvutia hatubahatishi. Mapambo yanaanzia 350,000/- Unasema mwenyewe unataka upambiwaje.Vyakula vya aina zote, hata vya nje ya nchi unatuambia tu nchi gani na aina ya menu uitakayo.Menu ya chini kabisa tunaanzia 7,500/- Ina vyakula vyote muhimu vya kwenye sherehe, unatuambia tu tukuandaliaje. Keki nzuri kabisa za kisasa bei ya chini ngazi tano ni 250,000/- Ukitaka chini ya ngazi tano pia zipo na bei inashuka.Zaidi ya ngazi tano zipo unatuambia tu unatakaje.Tuna Miziki mikubwa kabisa na ma MC wa kike na kiume wazuri kabisa unachagua tu mwenyewe muziki wa aina gani na MC wake. Bei ya chini ya MC na Muziki ni 450,000/- .
Huduma hizi zinapatikana mkoa wa Dar es salaam.Tunafika pia mikoani kwa ongezeko kidogo la fedha.
Karibu tukuhudumie popote Dar es salaam.
Tunapatikana Banana na sabasaba maonyesho.
Mawasiliano: Simu ya kiganjani: 0655441943 Karibuni sana kwa
hudumu Murua na zakisasa kabisa
 

Attachments

  • IMG-20161207-WA0029.jpg
    IMG-20161207-WA0029.jpg
    96.7 KB · Views: 42
  • IMG-20161207-WA0015.jpg
    IMG-20161207-WA0015.jpg
    57.3 KB · Views: 55
  • IMG-20161207-WA0011.jpg
    IMG-20161207-WA0011.jpg
    27.1 KB · Views: 38
  • IMG-20161207-WA0010.jpg
    IMG-20161207-WA0010.jpg
    79.5 KB · Views: 71
  • 15400583_1423701967670637_3244242232108293810_n.jpeg
    15400583_1423701967670637_3244242232108293810_n.jpeg
    23.9 KB · Views: 58
  • 15380419_1423702071003960_5710897184762998933_n.jpeg
    15380419_1423702071003960_5710897184762998933_n.jpeg
    38.4 KB · Views: 43
  • IMG-20160806-WA0007.jpg
    IMG-20160806-WA0007.jpg
    77.2 KB · Views: 40
  • 15400910_1423702817670552_1800228527298968819_n.jpeg
    15400910_1423702817670552_1800228527298968819_n.jpeg
    28.2 KB · Views: 50
Back
Top Bottom