Karibu Tanzania Papa Yohane Paulo II

Karibu Tanzania Papa Yohane Paulo II

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
19,927
Reaction score
37,772
Mwaka 1990 Kanisa Katoliki nchini Tanzania lilipatwa na ugeni kutoka VATICAN.

Papa YOHANE PAULO WA PILI alidhuru Tanzania. Kanisa Katoliki Tanzania liliandaa kwaya Maalumu kwa ajili ya kumpokea Kiongozi huyo wa Kanisa Kubwa Duniani.

Ukiondoa Albamu ya MUIMBIENI BWANA WIMBO MPYA ya ST.PETERS , OYSTERBAY iliyotokwa mwaka 1992, Albamu ya " KARIBU TANZANIA BABA YETU YOHANE PAULO WA PILI " inachukuliwa kama albamu bora kabisa ya kwaya kupata kutokea katika Historia ya Kanisa Katoliki nchini Tanzania .

Innocent Mushi ( Mtunzi wa wimbo wa MUIMBIENI BWANA WIMBO MPYA ambao ndio ulibeba albamu ya MUIMBIENI BWANA WIMBO MPYA ya ST.PETERS OYSTERBAY ) anasema " Kwa makuzi bora ya kimwili, kiakili na kiroho, kila familia ya kikatoliki inapaswa kuwa na albamu hii ( KARIBU TANZANIA...) ambayo inatakiwa kuwa inapigwa kila siku usiku watoto wasikilize.

Albamu hii ilikuwa na nyimbo 16 ambazo ni

1. Kristu Mashinda - Christus Vincit (Traditional)
2. Wewe Ndiwe Petro - S. Mujwahuki
3. Utukufu na Ukuu - J. Mgandu
4. Bwana Mfalme - J. Mgandu
5. Mimi Nimewachagua Ninyi - Fr. Malema
6. Roho Yangu - E. Nyundo
7. Bahati Gani Ee Ndugu - C. Matui
8. Umeniita Bwana - J. Simya
9. Bwana Yesu Waniita - Fr. S. Mutajwaha
10. Nimtume Nani - Fr. Ntapambata
11. Ninyi Nimewaita Rafiki - J. Mgandu
12. Nimemkuta Daudi - Fr. Ntapambata
13. Nendeni Duniani Kote - Fr. Ntapambata
14. Baba Aliwaambia Mitume - J. Simya
15. Wateule we Bwana - S. Mujwahuki
16. Ewe Mama Maria - P. F. Mwarabu.

Karibu Tanzania - YouTube


TUNAKIMBILIA ULINZI WAKO...............
 
Mwaka 1990 Kanisa Katoliki nchini Tanzania lilipatwa na ugeni kutoka VATICAN.

Papa YOHANE PAULO WA PILI alidhuru Tanzania. Kanisa Katoliki Tanzania liliandaa kwaya Maalumu kwa ajili ya kumpokea Kiongozi huyo wa Kanisa Kubwa Duniani.

Ukiondoa Albamu ya MUIMBIENI BWANA WIMBO MPYA ya ST.PETERS , OYSTERBAY iliyotokwa mwaka 1992, Albamu ya " KARIBU TANZANIA BABA YETU YOHANE PAULO WA PILI " inachukuliwa kama albamu bora kabisa ya kwaya kupata kutokea katika Historia ya Kanisa Katoliki nchini Tanzania .

Innocent Mushi ( Mtunzi wa wimbo wa MUIMBIENI BWANA WIMBO MPYA ambao ndio ulibeba albamu ya MUIMBIENI BWANA WIMBO MPYA ya ST.PETERS OYSTERBAY ) anasema " Kwa makuzi bora ya kimwili, kiakili na kiroho, kila familia ya kikatoliki inapaswa kuwa na albamu hii ( KARIBU TANZANIA...) ambayo inatakiwa kuwa inapigwa kila siku usiku watoto wasikilize.

Albamu hii ilikuwa na nyimbo 16 ambazo ni

1. Kristu Mashinda - Christus Vincit (Traditional)
2. Wewe Ndiwe Petro - S. Mujwahuki
3. Utukufu na Ukuu - J. Mgandu
4. Bwana Mfalme - J. Mgandu
5. Mimi Nimewachagua Ninyi - Fr. Malema
6. Roho Yangu - E. Nyundo
7. Bahati Gani Ee Ndugu - C. Matui
8. Umeniita Bwana - J. Simya
9. Bwana Yesu Waniita - Fr. S. Mutajwaha
10. Nimtume Nani - Fr. Ntapambata
11. Ninyi Nimewaita Rafiki - J. Mgandu
12. Nimemkuta Daudi - Fr. Ntapambata
13. Nendeni Duniani Kote - Fr. Ntapambata
14. Baba Aliwaambia Mitume - J. Simya
15. Wateule we Bwana - S. Mujwahuki
16. Ewe Mama Maria - P. F. Mwarabu.

Karibu Tanzania - YouTube


TUNAKIMBILIA ULINZI WAKO...............

Hayo ndio unayopata katika mafunzo ya uchawi?
 
mwaka 1990 kanisa katoliki nchini tanzania lilipatwa na ugeni kutoka vatican.

Papa yohane paulo wa pili alidhuru tanzania. Kanisa katoliki tanzania liliandaa kwaya maalumu kwa ajili ya kumpokea kiongozi huyo wa kanisa kubwa duniani.

Ukiondoa albamu ya muimbieni bwana wimbo mpya ya st.peters , oysterbay iliyotokwa mwaka 1992, albamu ya " karibu tanzania baba yetu yohane paulo wa pili " inachukuliwa kama albamu bora kabisa ya kwaya kupata kutokea katika historia ya kanisa katoliki nchini tanzania .

Innocent mushi ( mtunzi wa wimbo wa muimbieni bwana wimbo mpya ambao ndio ulibeba albamu ya muimbieni bwana wimbo mpya ya st.peters oysterbay ) anasema " kwa makuzi bora ya kimwili, kiakili na kiroho, kila familia ya kikatoliki inapaswa kuwa na albamu hii ( karibu tanzania...) ambayo inatakiwa kuwa inapigwa kila siku usiku watoto wasikilize.

Albamu hii ilikuwa na nyimbo 16 ambazo ni

1. Kristu mashinda - christus vincit (traditional)
2. Wewe ndiwe petro - s. Mujwahuki
3. Utukufu na ukuu - j. Mgandu
4. Bwana mfalme - j. Mgandu
5. Mimi nimewachagua ninyi - fr. Malema
6. Roho yangu - e. Nyundo
7. Bahati gani ee ndugu - c. Matui
8. Umeniita bwana - j. Simya
9. Bwana yesu waniita - fr. S. Mutajwaha
10. Nimtume nani - fr. Ntapambata
11. Ninyi nimewaita rafiki - j. Mgandu
12. Nimemkuta daudi - fr. Ntapambata
13. Nendeni duniani kote - fr. Ntapambata
14. Baba aliwaambia mitume - j. Simya
15. Wateule we bwana - s. Mujwahuki
16. Ewe mama maria - p. F. Mwarabu.

karibu tanzania - youtube


tunakimbilia ulinzi wako...............

mzazi mtakatifu wa mungu......
 
Daah nilikua Songea..kuna ule wimbo ulikua na maneno ya ...huyu ndie kuhani mkuu aliyependeza bwana ..nao uko kwenye hii albam au Songea walikuwa na nyimbo zao tofauti na hizi?#likud
 
Ulinzi wako , mzazi mtakatifu wa MUNGU usitunyime tukiomba katika shida zetu utuokoe Siku zote
kila tuingiapo hatarini ewe bikira mtukufu mwenye Baraka AMINA

mzazi mtakatifu wa Mungu ni nani?
 
Hivi ktk historia ndo papa pekee ambae ashawahi kufika TZ ama?
 
Mwaka 1990 Kanisa Katoliki nchini Tanzania lilipatwa na ugeni kutoka VATICAN.

Papa YOHANE PAULO WA PILI alidhuru Tanzania. Kanisa Katoliki Tanzania liliandaa kwaya Maalumu kwa ajili ya kumpokea Kiongozi huyo wa Kanisa Kubwa Duniani.

Ukiondoa Albamu ya MUIMBIENI BWANA WIMBO MPYA ya ST.PETERS , OYSTERBAY iliyotokwa mwaka 1992, Albamu ya " KARIBU TANZANIA BABA YETU YOHANE PAULO WA PILI " inachukuliwa kama albamu bora kabisa ya kwaya kupata kutokea katika Historia ya Kanisa Katoliki nchini Tanzania .

Innocent Mushi ( Mtunzi wa wimbo wa MUIMBIENI BWANA WIMBO MPYA ambao ndio ulibeba albamu ya MUIMBIENI BWANA WIMBO MPYA ya ST.PETERS OYSTERBAY ) anasema " Kwa makuzi bora ya kimwili, kiakili na kiroho, kila familia ya kikatoliki inapaswa kuwa na albamu hii ( KARIBU TANZANIA...) ambayo inatakiwa kuwa inapigwa kila siku usiku watoto wasikilize.

Albamu hii ilikuwa na nyimbo 16 ambazo ni

1. Kristu Mashinda - Christus Vincit (Traditional)
2. Wewe Ndiwe Petro - S. Mujwahuki
3. Utukufu na Ukuu - J. Mgandu
4. Bwana Mfalme - J. Mgandu
5. Mimi Nimewachagua Ninyi - Fr. Malema
6. Roho Yangu - E. Nyundo
7. Bahati Gani Ee Ndugu - C. Matui
8. Umeniita Bwana - J. Simya
9. Bwana Yesu Waniita - Fr. S. Mutajwaha
10. Nimtume Nani - Fr. Ntapambata
11. Ninyi Nimewaita Rafiki - J. Mgandu
12. Nimemkuta Daudi - Fr. Ntapambata
13. Nendeni Duniani Kote - Fr. Ntapambata
14. Baba Aliwaambia Mitume - J. Simya
15. Wateule we Bwana - S. Mujwahuki
16. Ewe Mama Maria - P. F. Mwarabu.

Karibu Tanzania - YouTube


TUNAKIMBILIA ULINZI WAKO...............

mkuu nipo Songea nitapataje hii album, naomba Pm kama utaweza nitumia nitalipia gharama zote
 
Mwaka 1990 Kanisa Katoliki nchini Tanzania lilipatwa na ugeni kutoka VATICAN.

Papa YOHANE PAULO WA PILI alidhuru Tanzania. Kanisa Katoliki Tanzania liliandaa kwaya Maalumu kwa ajili ya kumpokea Kiongozi huyo wa Kanisa Kubwa Duniani.

...............
Najua sio kwa makusudi, lakini hapo pekundu ndo tatizo langu. Tanzania ilidhurikaje na ujio wa Papa?
 
Back
Top Bottom