Karibu RENT A MAID cleaning services

CathLiv

Senior Member
Mar 11, 2017
112
52
Je, wewe ni mama, baba au mlezi ambaye majukumu nyumbani wamekunyima uhuru wa kuingiza kipato?
Ni kampuni ya RENT A MAID chini Tanzania inayo suruhisha tatizo hili kwa kukupatia wasichana/mama (Umri 18 na kuendelea) wenye mafunzo yakinifu katika kazi za nyumbani.
Karibu...

TUPIGIE/WhatsApp 0769321005

BUGANDO-MWANZA
 
Hao wanawaweza wazungu kwa wanawake wakibongo watawamwagia maji ya Moto,
Kwani asilimia kubwa ya dada zetu wanaongozwa na wivu kuliko kumuhudumia mume,
Sasa sipati picha mume akimsifia dadawa kazi patawaka.
 


Halafu nyie mwamlipa 30,000/- Siwezi kuwa sehemu ya huu unyonyaji, na hata nikimchukua mwezi unaofuata nampa hiyo laki direct ANAWATEMA.....
 
Halafu nyie mwamlipa 30,000/- Siwezi kuwa sehemu ya huu unyonyaji, na hata nikimchukua mwezi unaofuata nampa hiyo laki direct ANAWATEMA.....
no research no right to speak.
Nani kasema 30% ya mshahara wake.?
MUCH KNOW IGNORANT
 
Aisee katika vitu ambavyo huwa navipinga katika maisha yangu ni Kumchukua binadamu wenzako na kumtumikishakama punda.Hii nimechukia zaidi baada ya kuona hadi wanakodishwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…