Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,070
Hongera mama Tibaijuka,
Hivi inakuwaje kama angekuta jina lake linatumiwa na mtu mwengine?
COPY: AshaDii
Hivi inakuwaje kama angekuta jina lake linatumiwa na mtu mwengine?
COPY: AshaDii
Swali lako ni la msingi. Mara zote watu wanapojisajiri kwa kutumia majina ambayo ni public figures, uongozi wa JF huyaweka kwenye zuio mpaka baada ya kuthibitisha kuwa anayefahamika zaidi kwa umma kwa kupitia jina husika ndiye kweli amefanya usajiri.Hongera mama Tibaijuka,
hivi inakuwaje kama angekuta jina lake linatumiwa na mtu mwengine?
CoPY: AshaDii
Swali lako ni la msingi. Mara zote watu wanapojisajiri kwa kutumia majina ambayo ni public figures, uongozi wa JF huyaweka kwenye zuio mpaka baada ya kuthibitisha kuwa anayefahamika zaidi kwa umma kwa kupitia jina husika ndiye kweli amefanya usajiri.
Hapo siku za nyuma alipata kujiandikisha mtu siku ya jumapili mida ya ibada kwa jina la E. Lowassa na kuanzisha uzi wenye malengo maalumu aliyotaka kukidhi. Baada ya Uongozi wa JF kufuatilia ikabainika kuwa Mh. E. Lowassa alikuwa kanisani muda ule.
Daima tunajitahidi kwa kila jinsi kuhakikisha majina ya watu hayatumiki kihalifu au vibaya ndani ya JF
Karibu sana Mkuu Tibaijuka. Hapa jamvini Mkuu hutumika kwa member yeyote kama namna ya mawasiliano bila kujalisha jinsia ama wadhifa.