Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,342
- 5,536
Mkazi mmoja wa Songea vijijini mkoani Ruvuma amemuua mkewe katika ugomvi wa kugombea shuka la kujifunika lenye upana wa futi moja na nusu. Kamanda wa polisi mkoani humu amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kuongeza kwamba, jamaa huyu alimpiga mkewe na kufariki papohapo jambo lililomfanya kuchukua kamba na kwenda kujitundika!
Kaazi kwel kwel!
Source: Habari na Matukio, RFA.
Kaazi kwel kwel!
Source: Habari na Matukio, RFA.