grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,442
- 5,807
Na hilo jua linavyowaka hapo lazima ukute ka-kuku kananuka shombo mpaka hamu inatoweka, beberu kasingiziwa.Vitu vya ukweli, mchina hajachakachua labda wasi wasi wangu kwenye kujiswafi tu. Huko kijijini kwenu maji sio ya tabu mkuu?