Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 1,731
- 3,372
Mzee alistaafu miaka michache iliyopita.
Amejenga mjini hapo familia ilipo sasa hivi
Kajenga pia kijijini kwake na ana vimiradi vyake huko kijijini.
Sasa kumetokea tafrani hapa kati yao maana Mzee anataka aihamishie familia kijijini sasa kimbembe mke wake yani maza anataka familia iendelee kubaki mjini.
Hii imekuwa shida sana kwa watoto kuamua wasimame upande upi. Watoto wamegawanyika nao. Wapo walio simama upande wa mzee na wengine wanaomsapoti maza.
Mpasuko ni mkubwa. Hali ni tete kwakweli.
Amejenga mjini hapo familia ilipo sasa hivi
Kajenga pia kijijini kwake na ana vimiradi vyake huko kijijini.
Sasa kumetokea tafrani hapa kati yao maana Mzee anataka aihamishie familia kijijini sasa kimbembe mke wake yani maza anataka familia iendelee kubaki mjini.
Hii imekuwa shida sana kwa watoto kuamua wasimame upande upi. Watoto wamegawanyika nao. Wapo walio simama upande wa mzee na wengine wanaomsapoti maza.
Mpasuko ni mkubwa. Hali ni tete kwakweli.