Kuuziana simbi
Hahahaaa as a human being u need humans to succeed
Wazo langu hapo ni kuwa inabidi vijana tubadilike kabisa tutumie akili zetu na kusoma vitabu library sio tu kung'ang'ania masimbi, haya hayana tija, ni bora kuja na idea mpya ili kujipima uwezo wako wa kusikiliza lecture na kuandaa personal notes zako. Ndo mchango wangu hapo.
usijarb kuxoma coz hiyo....