XAMUEL DON KATAR
Member
- Jul 8, 2013
- 96
- 63
....initially watu waliograduate biotechnology sua na udism walikuwa wakiajiriwa wizara ya afya (sawa na watu wa medical lab) na wachache kwenye lab za research na viwandani but kwa taarifa zilizopo mpaka saivi ni kwamba hawana sifa za kufanya kazi mahospitalini sehemu ambayo walichukuliwa kwa wingi.kwa inchi za wenzetu biotech i guess inalipa bt kikwetukwetu nahisi bado sanaaaa.mpaka saivi kuna mgogoro kwa SUA endapo hii cozi iendelee kutolewa especially kwa diploma (not degree)...nakushauri kama una mbadala wa kusoma coz nyingine fanya hivyo...but sikukatishi tamaa pia kama ni first year, mpaka uje umalize yawezekana solution ya ajira na mazngira yake yakawa mazuri...keep and karibu sana SUA.,