Karibu Captain G Habash

Karibu Captain G Habash

Lee

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2013
Posts
44,005
Reaction score
150,535
Ndan ya clouds FM ,, G Habash captain tenaa ndani ya jahazi
 
Wameona linaenda kuzama sasa wamemnunua chiz fresh ili kuwapa back up.......ndi ndi ndi
 
Jahazi ilishakua ka saloon ya kike, kibonde na likuda hamna wanachofanya zaid ya kujichekesha tu wenyewe... Gardner atakirudisha hicho kipindi kwenye hadhi yake
 
Wakuu hebu nisaidieni!
Nitaipataje redio ya clouds kwenye king'amuzi cha DSTV HD?
 
Redio ya matangazo
Kwani kazi ya redio ni nini mkuu? Au una maanisha commercial adverts?

Hapo kwenye commercial adverts kwa kweli mpk wanaboa. Yani hua nikiskia tangazo tu ooh mara group la maex wako, mara tigo, airtel, mikopo khaaa hata wawe wanatoa moja moja kuliko kifuruliza..wengine hata hayatuhusu
 
Kwani kazi ya redio ni nini mkuu? Au una maanisha commercial adverts?

Hapo kwenye commercial adverts kwa kweli mpk wanaboa. Yani hua nikiskia tangazo tu ooh mara group la maex wako, mara tigo, airtel, mikopo khaaa hata wawe wanatoa moja moja kuliko kifuruliza..wengine hata hayatuhusu
Mkuu wamekuwa too much kwa matangazo najua ndio yanayowapatia kipato ila sasa duuh!! Wasikilizaji tumekimbia manake kila baada ya sekunde tangazo dah!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom