Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,024
- 13,753
Ukute biashara zai hazina bima. Umaskini unakujaga hivi hivi...
Mbongo na bima wapi na wapi! Hata hizi 3rd party za magari tunakata kwasababu tu ni lazima!Ukute biashara zai hazina bima. Umaskini unakujaga hivi hivi...
mze acha chuki na roho mbaya.Safi sana yaani saana
Acha uwake tu tena uwake uunguze vitu. Yaani kariakoo ni eneo la kijinga sana hakuna mpangilio wa kitu chochote, siyo maduka makubwa wala machinga, yaani siku ikitokea fujo watu watakufa sana. Nashauri serikali iwafukuze chinga wote wanaopanga barabarani waondoke kariakoo iwe safi
Mimi nafanya utani tu hapomze acha chuki na roho mbaya.
Pale ni karibu sana na makao makuu ya jeshi la zimamoto na uokoaji aka "fire".Habari za awali: Moto mkubwa ambao bado chanzo chake hakijajulikana, unaunguza maduka ya wafanyabiashara Kariakoo karibu na kituo cha mafuta cha Bigbon Msimbazi, jijini Dar es Salaam.
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji linaendelea jitihada kudhibiti moto huo, huku wafanyabiashara wakiendelea kuokoa baadhi ya bidhaa zao.
Kwa habari Zaidi endelea kufuatilia habari zetu na mitandao yetu ya kijamii.
View attachment 2768214View attachment 2768216
Habari za awali: Moto mkubwa ambao bado chanzo chake hakijajulikana, unaunguza maduka ya wafanyabiashara Kariakoo karibu na kituo cha mafuta cha Bigbon Msimbazi, jijini Dar es Salaam.
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji linaendelea jitihada kudhibiti moto huo, huku wafanyabiashara wakiendelea kuokoa baadhi ya bidhaa zao.
Kwa habari Zaidi endelea kufuatilia habari zetu na mitandao yetu ya kijamii.
View attachment 2768214View attachment 2768216
Bigbon ilivunjwa yapo maduka pale...Moto inasemekana upo karibu na bigbon
Habari za J2Nitakuchapaaa
Njema babu, shikamooHabari za J2
Marahabaaa hujambo mjukuu wanguNjema babu, shikamoo
Siku ya moto, barabara ya kutokea Sinza Vatican pia kuna nyumba imeunguaHabari za awali: Moto mkubwa ambao bado chanzo chake hakijajulikana, unaunguza maduka ya wafanyabiashara Kariakoo karibu na kituo cha mafuta cha Bigbon Msimbazi, jijini Dar es Salaam.
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji linaendelea jitihada kudhibiti moto huo, huku wafanyabiashara wakiendelea kuokoa baadhi ya bidhaa zao.
View attachment 2768279
Bank napo unawaka?Naona BOA Bank hapo chini...Hv huu sio mpango kweli wajanja wamesha piga mpunga BOA Bank then wanalipua moto waje kusema pesa ziliungua ama watu wapemepita nazo ktk harakati za kuuzima moto?...ama walishapiga kitamboooo
Sijui nawaza Nini Mimi...kichwa maji mimi
Serikali inajiandaa kununua vifaa vya kisasa vya kuzimia moto ila pesa ya kununulia maviete hazikosagiHabari za awali: Moto mkubwa ambao bado chanzo chake hakijajulikana, unaunguza maduka ya wafanyabiashara Kariakoo karibu na kituo cha mafuta cha Bigbon Msimbazi, jijini Dar es Salaam.
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji linaendelea jitihada kudhibiti moto huo, huku wafanyabiashara wakiendelea kuokoa baadhi ya bidhaa zao.
View attachment 2768279
sawa ila nyuma ya utani kunaficha chuki, wivu . Husda na mambo mengi sana.Mimi nafanya utani tu hapo