KUCHITIMBO1970
JF-Expert Member
- Apr 24, 2015
- 482
- 221
Kwa hiyo hutaki?Leo wakati najiandaa kwenda kanisani ibada ya pili nikasema ngoja niweke redio yetu tumaini.
Baba Askofu akitoa salamu za xmas kwa waumini alisema kuwa yeye anaona maisha yana nafuu sana, labda kwa wale ambao walizoea kupata fedha ambazo si halali ndio wanaolalamika, kukazia hilo akasema mavuno ya mwaka huu waliweka target ya kukusanya kiasi kikubwa cha fedha, watu watatu wakamfuata wakati akitangaza malengo hayo na kumuuliza hizo ela zitapatikanaje wakati watu hawana ela baba askofu? Anasema yeye hakuwajali na akawambia fedha zitapatikana na kweli zikapatikana sasa leo anasema akisikia watu wanalalamika anashangaa wakati malengo yao yalitimia.
Akaendelea kusema kuwa awamu hii kwake ni nafuu sana kwani akipanda ndege kwenda kwao kwa shirika la atcl ni karibu nusu ya nauli ambayo mashirika mengine yanatoza, kwa hiyo awamu hii yeye anaona inaunafuu sana.
Basi nikazima redio kwa upole na kuelekea zangu kanisani huku nikiwaza ule ukali wa maaskofu haupo tena awamu hii?
Siku hizi Taifa limegubikwa na unafiki Mkubwa. Iko siku watajikuta wamebaki peke yao kwani ni kama wanaishi Dunia ya peke yao.Ulitegemea atasema kinyume?
Kwa hiyo hutaki?Leo wakati najiandaa kwenda kanisani ibada ya pili nikasema ngoja niweke redio yetu tumaini.
Baba Askofu akitoa salamu za xmas kwa waumini alisema kuwa yeye anaona maisha yana nafuu sana, labda kwa wale ambao walizoea kupata fedha ambazo si halali ndio wanaolalamika, kukazia hilo akasema mavuno ya mwaka huu waliweka target ya kukusanya kiasi kikubwa cha fedha, watu watatu wakamfuata wakati akitangaza malengo hayo na kumuuliza hizo ela zitapatikanaje wakati watu hawana ela baba askofu? Anasema yeye hakuwajali na akawambia fedha zitapatikana na kweli zikapatikana sasa leo anasema akisikia watu wanalalamika anashangaa wakati malengo yao yalitimia.
Akaendelea kusema kuwa awamu hii kwake ni nafuu sana kwani akipanda ndege kwenda kwao kwa shirika la atcl ni karibu nusu ya nauli ambayo mashirika mengine yanatoza, kwa hiyo awamu hii yeye anaona inaunafuu sana.
Basi nikazima redio kwa upole na kuelekea zangu kanisani huku nikiwaza ule ukali wa maaskofu haupo tena awamu hii?
Mkuu zamu yetu sasa utawala wa JK ulikuwa dhaifu sana JK nchi ilimshinda kabisa akaminyi uhuru wa habari akaleta udini refer hotuba za Lema na Mnyika.Masikini Cardinal Pengo, anawasahau ndg zake kule Sumbawanga vijijini. Naomba mungu awabariki
Tumia busara unavyo comment mkuuPengO hana akili. Aache mambo kis.enge
Hivi anajua ugumu wa maisha.
Labda anamaana awamu hii kuna unafuu wa maisha ya kikristo maana MAGUFULI AMEWAWEKA WAKRISTO WENGI ZAIDI KWENYE UONGOZI (MORE THAN 92%) KULIKO AWAMU ZINGINE ZOZOTE
......Unafiki ni sifa muhimu sana kwa kiongozi yeyote wa Africa...pia Africa kwetu hapa DINI na SIASA ni mtu na mkewe...
Pengo anatia huruma sana...
Yaani hii dunia,everybody wants to stick a dick to a common mwananchi,sijui wanatatubakisha wapi...
Ndio maana siamini dini yoyote na wala mungu yoyote au shetani yeyote...all these are spooky businesses!
Ukiwa muislam nchi hii tatizoMasifa country....
ni mwendo wa kusifu tu...ukitaka ubaya....kosoa
pia nmegundua huenda JK hakufanikiwa sana kwa sababu ya dini yake....
Mkuu unampigia mbuzi gitaa!!Narudia tena tunbaopanda ndege ndio tunaojuwa bei, porojo zako peleka kwa wajinga wenzako, ingia hapa www.fastjet.com
kama usemacho ni kweli si uwe mkristo sasa ndio utajigunduwa ulikuwa ni mjinga kiasi gani kwa kwa kukalilishwa ujinga.Ukiwa muislam nchi hii tatizo