Mwadhama Polycarp Pengoamesema kanisa si mahali pa kujisafisha, Pengo amesema kanisa halipaswi kugeuzwa mahala pa kujisafisha na kujijenga kisiasa. Kardinali Pengo amesema "Kwa namna yoyote kanisa katoliki halipaswi kuwa uaja wa siasa na wanasiasa wana kwao, wafanye shughuli zao huko uko"
Ameendelea kusema "siyo mu anashindwa kujielezea katika ulingo wa siasa aakuja kkujielezea katika ulingo wa kanisa na kuanza kujinadi na ya vitu vingine na kama hatutalinda mfumo wa kanisa kuna athari zinaweza kujitokeza.
CHANZO CHA HABARI HII NI GAZETI LA RAIA TANZANIA(UK 7).
Toka hapa MDINI wewe tupe na habari nyingine kwenye hilo gazeti
Mwizi/fisadi/mla rushwa sio ndg yetu
acha akemewe maana amekuwa kama pepo. Nami namkemea atubu ili amalizie uzee wake vizuri na asiikose MbinguMwadhama Polycarp Pengoamesema kanisa si mahali pa kujisafisha, Pengo amesema kanisa halipaswi kugeuzwa mahala pa kujisafisha na kujijenga kisiasa. Kardinali Pengo amesema "Kwa namna yoyote kanisa katoliki halipaswi kuwa uaja wa siasa na wanasiasa wana kwao, wafanye shughuli zao huko uko"
Ameendelea kusema "siyo mu anashindwa kujielezea katika ulingo wa siasa aakuja kkujielezea katika ulingo wa kanisa na kuanza kujinadi na ya vitu vingine na kama hatutalinda mfumo wa kanisa kuna athari zinaweza kujitokeza.
CHANZO CHA HABARI HII NI GAZETI LA RAIA TANZANIA(UK 7).
Mwadhama Polycarp Pengoamesema kanisa si mahali pa kujisafisha, Pengo amesema kanisa halipaswi kugeuzwa mahala pa kujisafisha na kujijenga kisiasa. Kardinali Pengo amesema "Kwa namna yoyote kanisa katoliki halipaswi kuwa uaja wa siasa na wanasiasa wana kwao, wafanye shughuli zao huko uko"
Ameendelea kusema "siyo mu anashindwa kujielezea katika ulingo wa siasa aakuja kkujielezea katika ulingo wa kanisa na kuanza kujinadi na ya vitu vingine na kama hatutalinda mfumo wa kanisa kuna athari zinaweza kujitokeza.
CHANZO CHA HABARI HII NI GAZETI LA RAIA TANZANIA(UK 7).
taarifa za kichochezi. Wapi kamtaja lowasa.
kusoma magazeti ya chama kinachoamini katika Nyundo na Jembe Karne Ya 21 ni utovu wa nidhamu ya dhamira yako
Mwadhama Polycarp Pengoamesema kanisa si mahali pa kujisafisha, Pengo amesema kanisa halipaswi kugeuzwa mahala pa kujisafisha na kujijenga kisiasa. Kardinali Pengo amesema "Kwa namna yoyote kanisa katoliki halipaswi kuwa uaja wa siasa na wanasiasa wana kwao, wafanye shughuli zao huko uko"
Ameendelea kusema "siyo mu anashindwa kujielezea katika ulingo wa siasa aakuja kkujielezea katika ulingo wa kanisa na kuanza kujinadi na ya vitu vingine na kama hatutalinda mfumo wa kanisa kuna athari zinaweza kujitokeza.
CHANZO CHA HABARI HII NI GAZETI LA RAIA TANZANIA(UK 7).
km macho huna unataka habari nyingine za nini?Toka hapa MDINI wewe tupe na habari nyingine kwenye hilo gazeti
Too little!, too late!.
Ile siku nilipoupandisha uzi huu, [h=3]Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 Ni John Pombe Magufuli.
[/h]nilisema kuna jambo nimelisikia kumhusu Magufuli, ila sikulisema jambo hilo kwa sababu, ila nilielezwa ni kwa nini mgombea wa CCM atakuwa ni Magufuli!. Information is power, mimi na baadhi ya watu tunajua ni kwa nini ni Magufuli!, na hata leo leo bado hatusemi sababu za kwa nini ni Magufuli!, lakini ikitokea Lowassa asiposhinda uchaguzi huu, inamaana Magufuli ndie atashinda, na hapo ndipo nitakithibitisha hicho nilichosikia, hivyo nitalikisema kile nilichokisikia ili Watanzania wote wasikie, tuelezane ukweli , hata kama ukweli huo ni mchungu kiasi gani, huo ndio utabaki kuwa ukweli.
Pasco