Kardinali Pengo amkemea Lowassa

Kardinali Pengo amkemea Lowassa

Pitia gazeti la raia tanzania ukurasa wa saba na heading yenyewe inasomeka kana nilivyoandika
Sina shaka na uzi huu, na jkiangalia hakuna kukwepa hilo kwani kila kitu kipo wazi

ukisoma hayo magazeti uwe unajiongeza na wewe sio kukimbilia JF
 
Pengo mbona hajasema neno juu ya maaskofu wake kupewa mgao Wa escrow kama kweli in mcha mungu?
 
Wewe MBWAI NINI? SASA KANISA NI MAHALI PAKUFANYA NINI? KANISANI NI MAHALI PAKUTUBU NA KUJISAFISHA HUKU UKIMRUDIA MUNGU! NAONA WEWE MLETA MADA NI MFIKIRIWAJI NA MSENGENYAJI MKUBWA SANA, MBAVU ZAKO WEWE

Hahahaaha unajisafisha ili kuondoa dhambi siyo ukue kisiasa unashindwa kujitanua akili bro
Au ndiyo ushazoea kutanua vidole insteady of akili
Aibu kwako, na kama hujui ndiyo maana tunajaibu kutenga kanisa na siasa kwa sababu ndani ya kanisa kuna wafuasi wa kila chama na kanisalikiwa na msmamo wa chama flani linakuwa limepoteza dira
 
Mwadhama Polycarp Pengoamesema kanisa si mahali pa kujisafisha, Pengo amesema kanisa halipaswi kugeuzwa mahala pa kujisafisha na kujijenga kisiasa. Kardinali Pengo amesema "Kwa namna yoyote kanisa katoliki halipaswi kuwa uaja wa siasa na wanasiasa wana kwao, wafanye shughuli zao huko uko"

Ameendelea kusema "siyo mu anashindwa kujielezea katika ulingo wa siasa aakuja kkujielezea katika ulingo wa kanisa na kuanza kujinadi na ya vitu vingine na kama hatutalinda mfumo wa kanisa kuna athari zinaweza kujitokeza.

CHANZO CHA HABARI HII NI GAZETI LA RAIA TANZANIA(UK 7).

Lowasa kahusika vipi hapa wewe zezeta mwenye chuki dhidi ya lowasa?
 
Mwadhama Polycarp Pengoamesema kanisa si mahali pa kujisafisha, Pengo amesema kanisa halipaswi kugeuzwa mahala pa kujisafisha na kujijenga kisiasa. Kardinali Pengo amesema "Kwa namna yoyote kanisa katoliki halipaswi kuwa uaja wa siasa na wanasiasa wana kwao, wafanye shughuli zao huko uko"

Ameendelea kusema "siyo mu anashindwa kujielezea katika ulingo wa siasa aakuja kkujielezea katika ulingo wa kanisa na kuanza kujinadi na ya vitu vingine na kama hatutalinda mfumo wa kanisa kuna athari zinaweza kujitokeza.

CHANZO CHA HABARI HII NI GAZETI LA RAIA TANZANIA(UK 7).

Sasa hapo Lowasa kafikaje? Ivi bila kumtaja Lowasa hupati kiki?? Yani mnaboa hadi basi...
 
Hahahaaha unajisafisha ili kuondoa dhambi siyo ukue kisiasa unashindwa kujitanua akili bro
Au ndiyo ushazoea kutanua vidole insteady of akili
Aibu kwako, na kama hujui ndiyo maana tunajaibu kutenga kanisa na siasa kwa sababu ndani ya kanisa kuna wafuasi wa kila chama na kanisalikiwa na msmamo wa chama flani linakuwa limepoteza dira

Wewe UMEZOEA KUTANUA MIGUU EEE! SIO? KWENDA KUJISAFISHA KANISANI KUNAANGALIA WEWE NI WA CHAMA KIPI?? KISA YEYE ANAGOMBEA URAISI NDO MNA MWANDAMA? ANGEKUWA MWINGINE UKELETA HII MADA YAKO YA KISHAMBENGA, TUMIA AKILI ACHA KUTUMIA KAMASI WEWE, LETA MADA ZA KUJENGA WEWE
 
Gwajimaaaaaa hebu nakuomba hapa Mara moja, kuna mtu anavuruga hali ya hewa..
 
We kanjanja ni wapi alipotajwa Lowassa?

Na je ni lini Lowassa alijisafisha kwenye mimbari ya kanisa katoliki?

marryan said:
Pengo amesema "Kwa namna yoyote kanisa katoliki halipaswi kuwa uaja wa siasa na wanasiasa wana kwao, wafanye shughuli zao huko uko".
 
Kanisa lisilokuwa na uwezo wa kusafisha watu kuwabadilisha kutoka uovu kwenda kuwa watu wema, bila shaka hilo si Kanisa la Kristo bali ni pango la shetani.
 
Dini na siasa vinaenda pamoja kwani vinahusu ustawi wa watu kumjua Muumba wetu na kuwa na amani na watu wotee na mamlaka zote zatoka kwa Mungu! Kisichotakiwa ni siasa chonganishi! Hiyo ni sumu kama ramuli chonganishi siasa kama siasa haina shida mahali popote iwepo!
 
Mwadhama Polycarp Pengoamesema kanisa si mahali pa kujisafisha, Pengo amesema kanisa halipaswi kugeuzwa mahala pa kujisafisha na kujijenga kisiasa. Kardinali Pengo amesema "Kwa namna yoyote kanisa katoliki halipaswi kuwa uaja wa siasa na wanasiasa wana kwao, wafanye shughuli zao huko uko"

Ameendelea kusema "siyo mu anashindwa kujielezea katika ulingo wa siasa aakuja kkujielezea katika ulingo wa kanisa na kuanza kujinadi na ya vitu vingine na kama hatutalinda mfumo wa kanisa kuna athari zinaweza kujitokeza.

CHANZO CHA HABARI HII NI GAZETI LA RAIA TANZANIA(UK 7).

Fakaoff!! Raia Tanzania!?
 
Pengo kwa stahili ya maneno yako wewe hujui maadili ya kanisa, kwani Mungu alipo weka kanisa ndipo alipoagiza mtu akitenda dhambi atakwenda kanisani na kusafishwa kwa kuomba msamaha ss km mtu karudi kanisan unamkataa sikuelewi, unaudanganya umma,
 
Wewe ungekemea wale waliogaiwa pesa za escrow na kukimbilia nazo kanisani hp ningekuelewa sana.
 
taarifa za kichochezi. Wapi kamtaja lowasa.

kusoma magazeti ya chama kinachoamini katika Nyundo na Jembe Karne Ya 21 ni utovu wa nidhamu ya dhamira yako

Mwe jamani TUJITOKEZE kumng'oa mkoloni MADARAKANI. Kwani hii ni nchi ya watanzania wote. Habari za Eppa, escrow, nk tubadilishe mfumo.
 
Mimi ni muumini wa katoliki ila sipendi HUYU PENGO ANAVYOENDESHA KANISA KAMA LA BABA YAKE !!!HATUTAKINMATAMKO YA KUMKASHIFU KIONGOZI WETU WA KISIASA!!!YEYE ABAKI KAMA KIONGOZI WA KIROHO NA SI KUTUAMULIA KIONGOZI!!!!AU ANATAKULETA UDHEHEBU????AACHE KUTUMIKA!!!!
1.KANISA NI SEHEMU TAKATIFU AMBAPO MDHAMBI HUKIMBILIA ILI KUSAFISHWA DHAMBI ZAKE!!!SIO KUMKEMEANALIYEKOSA!!!
2.EBU WAIRUDIE BIBILIA YAO VIZURI WAKIONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU!!!
NB:
YESU KRISTO HAKUJA KWA WALIO WASAFI BALI KWA WENYE DHAMBI ILI WAPATE KUTUBU!!!
 
Back
Top Bottom