Kardinali Pengo amkemea Lowassa

Kardinali Pengo amkemea Lowassa

Mwadhama Polycarp Pengoamesema kanisa si mahali pa kujisafisha, Pengo amesema kanisa halipaswi kugeuzwa mahala pa kujisafisha na kujijenga kisiasa. Kardinali Pengo amesema "Kwa namna yoyote kanisa katoliki halipaswi kuwa uaja wa siasa na wanasiasa wana kwao, wafanye shughuli zao huko uko"

Ameendelea kusema "siyo mu anashindwa kujielezea katika ulingo wa siasa aakuja kkujielezea katika ulingo wa kanisa na kuanza kujinadi na ya vitu vingine na kama hatutalinda mfumo wa kanisa kuna athari zinaweza kujitokeza.

CHANZO CHA HABARI HII NI GAZETI LA RAIA TANZANIA(UK 7).

Mbona Pesa za Escrow Hakukemea....!!??
 
Ni baada ya kuona lowasa anataka kuwagawa watanzania kwa udini na ukabila magufuli ndiye rais
 
Mimi ni muumini wa katoliki ila sipendi HUYU PENGO ANAVYOENDESHA KANISA KAMA LA BABA YAKE !!!HATUTAKINMATAMKO YA KUMKASHIFU KIONGOZI WETU WA KISIASA!!!YEYE ABAKI KAMA KIONGOZI WA KIROHO NA SI KUTUAMULIA KIONGOZI!!!!AU ANATAKULETA UDHEHEBU????AACHE KUTUMIKA!!!!
1.KANISA NI SEHEMU TAKATIFU AMBAPO MDHAMBI HUKIMBILIA ILI KUSAFISHWA DHAMBI ZAKE!!!SIO KUMKEMEANALIYEKOSA!!!
2.EBU WAIRUDIE BIBILIA YAO VIZURI WAKIONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU!!!
NB:
YESU KRISTO HAKUJA KWA WALIO WASAFI BALI KWA WENYE DHAMBI ILI WAPATE KUTUBU!!!
 
Tujitokeze kwa wingi kesho tukamstahafishe lowasa siasa na tumchague magufuli kuwa rais wa tanzania
 
Mwadhama Polycarp Pengoamesema kanisa si mahali pa kujisafisha, Pengo amesema kanisa halipaswi kugeuzwa mahala pa kujisafisha na kujijenga kisiasa. Kardinali Pengo amesema "Kwa namna yoyote kanisa katoliki halipaswi kuwa uaja wa siasa na wanasiasa wana kwao, wafanye shughuli zao huko uko"

Ameendelea kusema "siyo mu anashindwa kujielezea katika ulingo wa siasa aakuja kkujielezea katika ulingo wa kanisa na kuanza kujinadi na ya vitu vingine na kama hatutalinda mfumo wa kanisa kuna athari zinaweza kujitokeza.

CHANZO CHA HABARI HII NI GAZETI LA RAIA TANZANIA(UK 7).
habari hiyo ni ya mwaka 2012.nimeshangaa sana hili gazeti. Nimelinunua naenda kulichana
 
Kwani kanisa si mahali pa kujisafisha??.Kwahiyo pa kujisafisha ni wapi?
Kwa waganga?..?Au kwa wakina freemason!!!!!!!!?????VIPI HUYU???
 
Kumbuka tunahesabu SAA, porojo hiz no effect at all,maamuz tayari,ni lowasa tu!
 
Mwadhama Polycarp Pengoamesema kanisa si mahali pa kujisafisha, Pengo amesema kanisa halipaswi kugeuzwa mahala pa kujisafisha na kujijenga kisiasa. Kardinali Pengo amesema "Kwa namna yoyote kanisa katoliki halipaswi kuwa uaja wa siasa na wanasiasa wana kwao, wafanye shughuli zao huko uko"

Ameendelea kusema "siyo mu anashindwa kujielezea katika ulingo wa siasa aakuja kkujielezea katika ulingo wa kanisa na kuanza kujinadi na ya vitu vingine na kama hatutalinda mfumo wa kanisa kuna athari zinaweza kujitokeza.

CHANZO CHA HABARI HII NI GAZETI LA RAIA TANZANIA(UK 7).
Heshimu kanisa na usilitumie jina la Kardinali kwa malengo yenu ya kisiasa. Kwa jinsi ulivyoandika hakika inaonyesha hata ulichokisoma umekitafasiri kwa uelewa wako uliopinda.
 
Pengo mkemee Kilaini kwanza kwa kukwapua hela za wizi
 
Mimi sio mwamini wa RC. Ila p.se tunaomba msiwachonganishe watumishi na wanasiasa. Hapa unajenga tu chuki. Unaliamini sana ilo gazeti?? Siasa za maji taka.
 
Mwadhama Polycarp Pengoamesema kanisa si mahali pa kujisafisha, Pengo amesema kanisa halipaswi kugeuzwa mahala pa kujisafisha na kujijenga kisiasa. Kardinali Pengo amesema "Kwa namna yoyote kanisa katoliki halipaswi kuwa uaja wa siasa na wanasiasa wana kwao, wafanye shughuli zao huko uko"

Ameendelea kusema "siyo mu anashindwa kujielezea katika ulingo wa siasa aakuja kkujielezea katika ulingo wa kanisa na kuanza kujinadi na ya vitu vingine na kama hatutalinda mfumo wa kanisa kuna athari zinaweza kujitokeza.

CHANZO CHA HABARI HII NI GAZETI LA RAIA TANZANIA(UK 7).

kala maharage huyoo,kavimbiwa huyooii
 
Back
Top Bottom