Kardinali Pengo amkemea Lowassa

Kardinali Pengo amkemea Lowassa

Hapo ndio utakapo jua Lowassa sio chaguo la system!
 
Wakatoliki nao ni watanzania tunaoshindia mlo moja na kuchoshwa na sheria mbovu. Tutamchagua LOWASSA hata ndiyo kutokwenda mbinguni na iwe hiyo. Ni mabadiliko Pengo asubirie matokeo kanisani
 
Tena huyu Pengo mpuuzi sana sanaa...aseme FEDHA ZA ESCROW zilipitaje Mkombozi bank.. na akawa kimya..!!! Aliwageuka Maaskofu wenzake wote juu ya msimamo wa KATIBA PENDEKEZWA... huyu hafai.. traitor na mnafiki sana..!!😨😨😨

I stopped attended St. Joseph.. sbb ya huyu Askofu hana UPAKO KABISA..!!! Mnafiki sana sanaa...!!! Niko St. Peters kila Sundays now...!!!
 
Nimekupa source ya taarifa yangu
Nadhani ww ndiyo hujielewi, rejea gazeti la raia tanzaia la leo

Muko bize kuegemea magazeti ya ccm mnategea nini. Credibility ya hio habari ninamsha nao. Mbona mwaka jana Lukuvi alivyo kua anahubiri makanisani kuhusu katiba mpya hakusema?

Naona mnatafuta kiki ya kuingia ikulu, ikulu ni ya Lowassa.
 
mwadhama polycarp pengoamesema kanisa si mahali pa kujisafisha, pengo amesema kanisa halipaswi kugeuzwa mahala pa kujisafisha na kujijenga kisiasa. Kardinali pengo amesema "kwa namna yoyote kanisa katoliki halipaswi kuwa uaja wa siasa na wanasiasa wana kwao, wafanye shughuli zao huko uko"

ameendelea kusema "siyo mu anashindwa kujielezea katika ulingo wa siasa aakuja kkujielezea katika ulingo wa kanisa na kuanza kujinadi na ya vitu vingine na kama hatutalinda mfumo wa kanisa kuna athari zinaweza kujitokeza.

Chanzo cha habari hii ni gazeti la raia tanzania(uk 7).

magufuli rais
 
Mwadhama Polycarp Pengoamesema kanisa si mahali pa kujisafisha, Pengo amesema kanisa halipaswi kugeuzwa mahala pa kujisafisha na kujijenga kisiasa. Kardinali Pengo amesema "Kwa namna yoyote kanisa katoliki halipaswi kuwa uaja wa siasa na wanasiasa wana kwao, wafanye shughuli zao huko uko"

Ameendelea kusema "siyo mu anashindwa kujielezea katika ulingo wa siasa aakuja kkujielezea katika ulingo wa kanisa na kuanza kujinadi na ya vitu vingine na kama hatutalinda mfumo wa kanisa kuna athari zinaweza kujitokeza.

CHANZO CHA HABARI HII NI GAZETI LA RAIA TANZANIA(UK 7).


Sasa kamkemeaje luwasa??

Toeni mashudu ya ccm
 
12122547_903630489718847_713999003090196057_n.jpg
 
Sasa huyu pengo naye anakurupuka,kanisa si kwajili ya wema na wakosefu kutubu dhambi zao?
 
Afadhali pengo atusAidie kuwaweka sawa hawa watu wasije tuletra shida kwenye nchi yetu
 
Lowassa namfananisha na hamani alie taka kuwachinja wana wa israel....bt waliokolewa na mtumishi wa mungu ester(magufuli)
 
Safi pengo siasa inamahali pake na dini inamahali pake there izo no direct contact betn religious affairs and political matters!!!
 
Back
Top Bottom