Karanga na hamu ya mapenzi.

TB nimewapata maana watu wanakimbilia karanga sijui supu ya pweza wakati hawana mazoezi wanakula kula ovyo
 
1.karanga
2. asali
3. pweza
4. maziwa
5. sijui na konyagi?
 
Pole sana Ground Zero, Vipi gari lako limeshakuwa la kusukuma hadi unaanza kutafuta nyenzo? Mimi nilidhani hilo jina ni ID tu ya JF, kuna tafsri yake ni kwamba kwenye kwenye mashine umeshakuwa Ground Zero? Pole sana ndugu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…