Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 359,898
- 828,493
Tarehe 12.8.2025 itaingia kwenye kumbukumbu za Tanganyika kwa mambo mengi
1. Majigambo ya nguvu ya mtandao kwamba wana watu wazito na wana ukwasi wa kutosha
2. Ithibati kamili kwamba chama kimetekwa na kundi maslahi linalojumuisha wevi, mafisadi, ma tycoon wa rushwa, watakatishaji pesa na mtandao unaoamua hatima ya Tanganyika huku kundi asili likibezwa na kupigwa vijembe vya kila aina
3. Kwamba uchaguzi umeshakwisha na hiyo ilikuwa hafla ya kupongezana
4. Watanganyika wasiojitambua waliobebwa kwenye mtumbwi wa vibengwo.. Walikuwa kenge kwenye msafara wa mamba! Kuna mmoja ahadi yake ikatajwa ya 5M kutoka Simiyu alimaindi vibaya sana..!
5. Chukizo jipya kwa walalahoi wanaokishabikia chama kinachoendeshwa na tabaka fulani.. Hilo ndio linakula mema ya Tanganyika (keki ya Tanganyika)
6. Sifa, ubabe, show offs, kejeli za waalikwa..
7. Kilichoitwa harambee ni KARAMU YA MWISHO kwa chama! hakitakaa kifanye tukio kama hili tena maana limekuwa chukizo na dhihaka kubwa mbele za macho ya Mungu na Watanganyika pia.. Huu ndio mwisho na hakuna mwisho mwingine zaidi ya huu.
1. Majigambo ya nguvu ya mtandao kwamba wana watu wazito na wana ukwasi wa kutosha
2. Ithibati kamili kwamba chama kimetekwa na kundi maslahi linalojumuisha wevi, mafisadi, ma tycoon wa rushwa, watakatishaji pesa na mtandao unaoamua hatima ya Tanganyika huku kundi asili likibezwa na kupigwa vijembe vya kila aina
3. Kwamba uchaguzi umeshakwisha na hiyo ilikuwa hafla ya kupongezana
4. Watanganyika wasiojitambua waliobebwa kwenye mtumbwi wa vibengwo.. Walikuwa kenge kwenye msafara wa mamba! Kuna mmoja ahadi yake ikatajwa ya 5M kutoka Simiyu alimaindi vibaya sana..!
5. Chukizo jipya kwa walalahoi wanaokishabikia chama kinachoendeshwa na tabaka fulani.. Hilo ndio linakula mema ya Tanganyika (keki ya Tanganyika)
6. Sifa, ubabe, show offs, kejeli za waalikwa..
7. Kilichoitwa harambee ni KARAMU YA MWISHO kwa chama! hakitakaa kifanye tukio kama hili tena maana limekuwa chukizo na dhihaka kubwa mbele za macho ya Mungu na Watanganyika pia.. Huu ndio mwisho na hakuna mwisho mwingine zaidi ya huu.