chitambikwa
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 3,941
- 900
Hivi karibuni nilienda karagwe ambayo ni moja ya wilaya hapa tanzania haijawahi kupata chakula cha msaada kutokana na kuwa na migomba mingi mizuri ,hari ya nzuri ya ikweta , udongo wenye rutuba na wingi sana wa mifugo hasa ng,ombe.
Kwa sas kuna ugonjwa umeikumba migomba unaitwa Mnyauko viongozi wao hasemi chochote na wala inayojiita serikali haijawambia wananchi watakula nini. kahawa na migomba inanyauka na kwa sasa vigogo tu ndo wanakula ndizi.
Kwenye mkutano mmoja wa hadhara katika kata ya kaisho watu wameanza kushutumiana waziwazi wakihoji ipo wapi serikali ,na mbunge wao ambaye wanadai anazima simu akipigiwa. Kila mtu kwa sasa anamwona mwenzake mchawi hasa kwa sababu watu waliamini Dr.Slaa atashinda uchaguzi na maisha yatakuwa mazuri.
Wengine kwa hasira waliambizana kwa hasira mtakula CCM ngumi zikawaka. nilishutuka hasa sikuwahi kuoona hari kama hii huko nyuma nikajiuliza maswali yafuatayo.
1. Mbunge wa kyerwa,karagwe mpo wapi?
2. Serikali iko wapi karagwe?
3. Bei nzuri ya kahawa ipo wapi?
lakini mabango ya
VOTE FOR MSEVENI
YOU WANT ONOTHER RAP YEA! YEA! yametundikwa sehemu nyingi sana hapa
na REDIO ZINAZISIKILIZWA NI ZA UGANDA, RWANDA NA MOJA YA HAPO KAYANGA .
Kwa sas kuna ugonjwa umeikumba migomba unaitwa Mnyauko viongozi wao hasemi chochote na wala inayojiita serikali haijawambia wananchi watakula nini. kahawa na migomba inanyauka na kwa sasa vigogo tu ndo wanakula ndizi.
Kwenye mkutano mmoja wa hadhara katika kata ya kaisho watu wameanza kushutumiana waziwazi wakihoji ipo wapi serikali ,na mbunge wao ambaye wanadai anazima simu akipigiwa. Kila mtu kwa sasa anamwona mwenzake mchawi hasa kwa sababu watu waliamini Dr.Slaa atashinda uchaguzi na maisha yatakuwa mazuri.
Wengine kwa hasira waliambizana kwa hasira mtakula CCM ngumi zikawaka. nilishutuka hasa sikuwahi kuoona hari kama hii huko nyuma nikajiuliza maswali yafuatayo.
1. Mbunge wa kyerwa,karagwe mpo wapi?
2. Serikali iko wapi karagwe?
3. Bei nzuri ya kahawa ipo wapi?
lakini mabango ya
VOTE FOR MSEVENI
YOU WANT ONOTHER RAP YEA! YEA! yametundikwa sehemu nyingi sana hapa
na REDIO ZINAZISIKILIZWA NI ZA UGANDA, RWANDA NA MOJA YA HAPO KAYANGA .