Sasa naanza kuamini Prof anasingiziwa. kuna mtu anatumia hiyo sim card kumchafua. Lugha gani hiyo ya kihuni hivyo atumie mzee mzima! :frusty:
Utakasi ichani mukombe...!?
Mzee mzima! wewe ndiyo unaona hivyo,mzee mzima asingefanya hayo aliyo fanya,hivyo amini anaweza kuandika hivyo alivyoandika pia.Sasa naanza kuamini Prof anasingiziwa. kuna mtu anatumia hiyo sim card kumchafua. Lugha gani hiyo ya kihuni hivyo atumie mzee mzima! :frusty:
Nadhani hizi ni fitina za Samwel Sita..!
Sasa naanza kuamini Prof anasingiziwa. kuna mtu anatumia hiyo sim card kumchafua. Lugha gani hiyo ya kihuni hivyo atumie mzee mzima! :frusty:
Prof J. kapuya amejitokeza tena kwa staili ya tofauti ikiwamo kumpigia simu mshtaki wake akiomba wayamalize kiaina.
Akitumia no ilele 0784993039 ambayo awali aliikana, juzi jumamosi alimpigia mshtaki wake na kumwomba wakutane ofisini kwa DPP na aseme kuwa hana haja na kesi.
ujumbe uliotumwa ulisomeka hivi, "Najua kesi ni watu wawili, sasa kwa nini hamkubali? hivi hela nitakayompa akuue si bora nikupe uanze maisha? wakili nimempa hela nyingi, magazeti pia, unaweza kukanusha taarifa hii na kufuta ushahidi halafu mm nikupe hela uende popote, bungeni sifiki na nitafukuzwa nyie mtapata nini? nakupa masaa mpaka saa sita nitakuwa nimeshatuma hela, unachukua paspoti unasepa hakuna kurudi, ukikaidi roho itakwenda kupumzika, unataka kufa kibudu? jiangalie....."
Source; Tanzania Daima Nov 20 13
Prof.Jay hawezi kuandika meseji ya kimavimavi ivo bana. Lugha gani asa hiyo....kama mtoto wa mlugo kabisa!...acheni kumharibia bana. Hata mi siwez kuandika ivo......kitoto kabisa!!!.....acheni mambo yenu bana!..JF wampige ban aliyeweka thread hii....la sivyo kuanzia leo najitoa jf. Kueni na utu bana......acheni upuuzi bana......kapuya imekua kapuya.....acheni upuuzi bana.....pretenda wakubwa!...acheni ushenzi bana.....wazandiki wakubwa....karakabaho...stakafulula.....shwaini....nyambafu kabisa!...futeni ujinga wenu bana...tumechoka kusikia habari za kapuya sie!...acheni ukuda bana!!
Sasa naamini Kapuya anaonewa!!!!
Kapuya ajatulia kiakili huyu anaweza akapotea inabidi awekwe chini ya uangalizi maalum.
umeonaaa eeh...hata kama kuna ukweli hizi sasa chumvi.....yaani Prof afikie hivi?Hadithi nyingine za kutunga zinachekesha sana. Watu wana utaalamu wa KUTUNGA uongo.
Kapuya kama kweli unaoutu Watanzania wanao utu zaidi wapo tayari kukusamehe na mambo yakaendelea kama kawaida.
Ushauri wangu ni huu, itisha mkutano na vyombo vya habari pale Habari na Maelezo, usijitetee bali omba msamaha kwamba kweli ulikiuka MAADILI YA UONGOZI hivyo ungependa WATANZANIA WAKUSAMEHE. Huwezi amini utasamehewa hapo hapo, hakuna atakaye kuwa na dharau kwako kuanzia pale MAELEZO.
Believe me![/QUOT
Na pia pande zote ziwepo, binti na yeye. Mpaka Sasa jamii haijui imwelewe yupi
Sasa naanza kuamini Prof anasingiziwa. kuna mtu anatumia hiyo sim card kumchafua. Lugha gani hiyo ya kihuni hivyo atumie mzee mzima! :frusty: