kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 16,252
- 16,169
Wananchi walihamasishwa kipumbavu na wapumbavu kwa kumchonga mpumbavu waliyemwita Kapteni Tesha.
Kapteni Tesha na wenzake walijenga picha kuwa jeshi la JWTZ liko nyuma ya maandamano/mapinduzi ya Oktoba 29 hivyo kuwataka wajitokeze kwa wingi kwenye mapinduzi yale.
Hii haina tofauti na Kinjekitile Ngwale alipowahamasisha askari wake na wananchi kuwa wajitokeze kwa wingi kwenda kupigana na wajerumani kwakuwa risasi za adui zitageuka maji kabla hazijatua kwenye miili yao.
Ukweli ni kwamba risasi za wajerumani hazikugeuka maji hata kidogo.
Ukweli ni kwamba jeshi la JWTZ halikuwa nyuma ya wajinga wale na waandamaji wengi walikiona.
View: https://youtube.com/shorts/SOC50V3Ar1Q?si=Bo1TmY9Jh_XGX-uZ
Kapteni Tesha na wenzake walijenga picha kuwa jeshi la JWTZ liko nyuma ya maandamano/mapinduzi ya Oktoba 29 hivyo kuwataka wajitokeze kwa wingi kwenye mapinduzi yale.
Hii haina tofauti na Kinjekitile Ngwale alipowahamasisha askari wake na wananchi kuwa wajitokeze kwa wingi kwenda kupigana na wajerumani kwakuwa risasi za adui zitageuka maji kabla hazijatua kwenye miili yao.
Ukweli ni kwamba risasi za wajerumani hazikugeuka maji hata kidogo.
Ukweli ni kwamba jeshi la JWTZ halikuwa nyuma ya wajinga wale na waandamaji wengi walikiona.
View: https://youtube.com/shorts/SOC50V3Ar1Q?si=Bo1TmY9Jh_XGX-uZ