Akihojiwa na Salama Jabri kwenye kipindi cha "Mikasi" Mwimbaji wa Maarufu wa CCM na Kiongozi wa TOT amesema kwa maoni yake binafsi Mwaka 2015 anayefaa kuwa Rais wa Tanzania ni Edward Lowassa.
CC Pasco
Wewe bora hata ukae kimywa kijana mdogo huna utu hata chembe.Njaa zitamuua.Kwa hiyo amekua mgombea anayeungwa mkono na wabakaji wa mabinti wadogo,mafisadi,wezi,wanafiki,wauza unga na walevi?
Badala ya kujadili sera na ilani bora kuelekea 2015 anajadili pua za watu?
Captain gani asiyejua kufikiri sawa sawa?
Hata yeye Komba anafaa.
hila amenifurahisha kukiri kuwa cc kuna kila aina ya watu hadi mataahira.
Wewe bora hata ukae kimywa kijana mdogo huna utu hata chembe.
Mawazo yake,kila mtu anamtazamo wake ndiyo maana mbowe na slaa wameamua kula hela za ruzuku.
Mawazo yake,kila mtu anamtazamo wake ndiyo maana mbowe na slaa wameamua kula hela za ruzuku.
Njaa zitamuua.Kwa hiyo amekua mgombea anayeungwa mkono na wabakaji wa mabinti wadogo,mafisadi,wezi,wanafiki,wauza unga na walevi?
Badala ya kujadili sera na ilani bora kuelekea 2015 anajadili pua za watu?
Captain gani asiyejua kufikiri sawa sawa?
hila amenifurahisha kukiri kuwa cc kuna kila aina ya watu hadi mataahira.