Kapotelea wapi Mbunge wa Musoma Vijijini (CCM) Mh. Nimrod Mkono?

Duh mkuu Retired! Au wewe ndio wakili Mukono? maana imekugusa sana. Pole mkuu
Hapana, wala. Kuna mtu anafurahia watu kupata mateso. Tunaanza ku breed watu wa hivyo awamu hii. Mara mashetani, mara matundu watatolea pesa etc, watu wanaambukizwa ushetani
 
The bent, the sagging, the protruding, the sticking, the winding and the wiggling are being mercilessly and properly straightened.


Safi sana JPM kamua hapohapo wanazamba na kujamba upepo huku...
 

Naunga mkono. Hata yanayomkuta Malinzi ni husda.
 
Hum jf kunawatu mnajifanya mna high IQ sana,,wenye IQ zao ni wakimya
 
Yaani mkuu acha tu, asili yetu ni kupenda kuona mtu hafanikiwi, mtu anateseka na ndo maana hatuji kuendelea kabisaaaa
 

Mkuu nakubaliana na hoja ila hilo jina la Pogba ulilotumia unatukwaza mashabiki wa Man United.
 
Tabia za akina Robert mugabe

Wamezeeka wee kuachia madaraka hawataki

Uzee unamtesa huyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…