mbona dogo sio mbaya kiivyo,anaweza,mm naona sio mbaya hawajakosea sana,kwani bro we ulikuwa unampendekeza nani kwani naamini hata wao walikuwa na list ndefu ya wachezaji wengine na mwisho wa cku wakaona yeye ndo anafaa,hvyo hawakukurupuka kaka,kuna vigezo walivitumia mjomba
TASWA weshaanza mambo kama ya MISS TANZANIA!
Tanzania kila sekta siasa,mtu anakuwa mwanamichezo bora kwa kucheza vizuri mechi 2...nimewadhara waandishi wa tz kwa kufanya huo utumbo
Tanzania kila sekta siasa,mtu anakuwa mwanamichezo bora kwa kucheza vizuri mechi 2...nimewadhara waandishi wa tz kwa kufanya huo utumbo