political monger senior
JF-Expert Member
- Nov 26, 2020
- 1,801
- 5,788
WATAKATAA KUSAJILIWA SIMBA
.
Itafika Stage Wachezaji Wazawa Watakataa Kusajiliwa Simba, Labda Kwa Yule Anayehitaji Pesa Kuliko Kucheza Mpira.
Yuko Wapi Kapama , Mwanuke ? Hivi Hawa Wachezaji Wazawa Wanasajiliwa Simba Ili Kutimiza Idadi Au Kufanyaje?
Rotation Iko Wapi?
Friendly Match Kapombe, Zimbwe Simba Day Kapombe, Zimbwe Mechi Za Mashindano Kapombe, Zimbwe, Zimbwe Na Kapombe Ni Best Fullback In Tanzania Ila Na Wao Ni Binadamu Wanachoka Wamekuwa Bora Na Bado Wako Bora Ila Wamechoka Wanatakiwa Kupumzika pia.
Kikosi Kipana Kiko Wapi? Duchu , Kazi , Mwenda , Ni Kizazi Cha Kina Job Lakini Angalia Stage Aliofikia Wao Wanapigwa Reserve,
Simba Inafanya Rotation Mchezaji Akiumia Sasa Unakuta Mchezaji Hajacheza Mechi 10 Alafu Bahati Mbaya Mwingine Kaumia Unataka Yule Ambae Hajacheza Mechi 10 Unataka Afanye Vizuri?
@robertinho7.coach Ulituambia Una Mifumo Mitatu Iko Wapi? Rotation? Mpira Wa Speed Uko Wapi?
Mechi Ijayo Ya Coastal Union Utashangaa Zimbwe Na Kapombe Wapo Badala Uwapumzishe Wajiandae Mechi Ingine Wape Chance Hawa Vijana Wengine Mwenda
Duchu Kazi Ni Wachezaji Wazuri Na Wanaweza Kufanya Vizuri Usikariri Kikosi Tuna Mashindano Mengi Sana Angalia Yanga Kuna Rotation Kila Mchezaji Anapata Chance Ya Kucheza Hii Inapunguza Pia Mambo Ya Kupigana Misumari.
Uongozi Kama Mambo Yataendelea Hivi Itafika Muda Wachezaji Wakifuatwa Na Simba Na Yanga, Atachagua Yanga Kuliko Simba Kwa Sababu Atakuwa Na Uhakika Wa Kucheza, Ifike Hatua Kusiwe Na Mchezaji Anayemiliki Namba Yake,
Miaka Ya Hivi Karibu Hakuna Mzawa Aliefanikiwa Pale Simba Lakini Angalia Yanga Mudathiri, Mzize, Bacca, Kibwana, Sureboy,Farid Na Sasa Kibabage Licha Ya Uwezo Wa Lomalisa Ila Anapata Namba Anacheza Sisi Huku Kwetu Mpaka Majeruhi Mchezaji Zinapita Mechi 10 Hajacheza Wala Hana Tatizo Lolote,
N.B
Mwanzoni Sikumuelewa Kocha Wa Taifa Stars Sasa Nimemuelewa.
MNASEMAJE
.
Itafika Stage Wachezaji Wazawa Watakataa Kusajiliwa Simba, Labda Kwa Yule Anayehitaji Pesa Kuliko Kucheza Mpira.
Yuko Wapi Kapama , Mwanuke ? Hivi Hawa Wachezaji Wazawa Wanasajiliwa Simba Ili Kutimiza Idadi Au Kufanyaje?
Rotation Iko Wapi?
Friendly Match Kapombe, Zimbwe Simba Day Kapombe, Zimbwe Mechi Za Mashindano Kapombe, Zimbwe, Zimbwe Na Kapombe Ni Best Fullback In Tanzania Ila Na Wao Ni Binadamu Wanachoka Wamekuwa Bora Na Bado Wako Bora Ila Wamechoka Wanatakiwa Kupumzika pia.
Kikosi Kipana Kiko Wapi? Duchu , Kazi , Mwenda , Ni Kizazi Cha Kina Job Lakini Angalia Stage Aliofikia Wao Wanapigwa Reserve,
Simba Inafanya Rotation Mchezaji Akiumia Sasa Unakuta Mchezaji Hajacheza Mechi 10 Alafu Bahati Mbaya Mwingine Kaumia Unataka Yule Ambae Hajacheza Mechi 10 Unataka Afanye Vizuri?
@robertinho7.coach Ulituambia Una Mifumo Mitatu Iko Wapi? Rotation? Mpira Wa Speed Uko Wapi?
Mechi Ijayo Ya Coastal Union Utashangaa Zimbwe Na Kapombe Wapo Badala Uwapumzishe Wajiandae Mechi Ingine Wape Chance Hawa Vijana Wengine Mwenda
Duchu Kazi Ni Wachezaji Wazuri Na Wanaweza Kufanya Vizuri Usikariri Kikosi Tuna Mashindano Mengi Sana Angalia Yanga Kuna Rotation Kila Mchezaji Anapata Chance Ya Kucheza Hii Inapunguza Pia Mambo Ya Kupigana Misumari.
Uongozi Kama Mambo Yataendelea Hivi Itafika Muda Wachezaji Wakifuatwa Na Simba Na Yanga, Atachagua Yanga Kuliko Simba Kwa Sababu Atakuwa Na Uhakika Wa Kucheza, Ifike Hatua Kusiwe Na Mchezaji Anayemiliki Namba Yake,
Miaka Ya Hivi Karibu Hakuna Mzawa Aliefanikiwa Pale Simba Lakini Angalia Yanga Mudathiri, Mzize, Bacca, Kibwana, Sureboy,Farid Na Sasa Kibabage Licha Ya Uwezo Wa Lomalisa Ila Anapata Namba Anacheza Sisi Huku Kwetu Mpaka Majeruhi Mchezaji Zinapita Mechi 10 Hajacheza Wala Hana Tatizo Lolote,
N.B
Mwanzoni Sikumuelewa Kocha Wa Taifa Stars Sasa Nimemuelewa.
MNASEMAJE