KAPINGA formally Sukita boss is no more

KAPINGA formally Sukita boss is no more

Poleni sana familia ya Kapinga. RIP Mzee Kapinga.

Kwa wale wanaotoa habari za ubaya wake, please hebu acheni na mfikirie majonzi ya mke, watoto na familia yake huu sio wakati wa masimango. Subirini hata kwanza azikwe. licha ya hivyo maadili ya dini zote yanakataza kumsema maiti kwa ubaya.
 
Nimeongea na Mrs Kapinga (Revi Kapinga) dakika chache zilizopita. Marehemu alianguka leo na kufariki hapo hapo. Nadhani itakuwa ni shinikizo la damu, labda itajulikana kama wataamua kufanya uchunguzi zaidi ili kujua chanzo cha kifo chake. Watoto wa marehemu ambao wanaishi nje ya Tanzania watawasili Jumanne ili kuhudhuria mazishi ya Baba yao mpendwa.

Sukita kifo chake kilisababishwa na viongozi mbali mbali ndani ya chama na serikali ambao walitumia nyadhifa zao kujipatia bidhaa mbali mbali kwa mkopo toka SUKITA zikiwemo Air conditioners, Fridges, Gas and Electric cookers na hata home furnitures. Hakukuwa na utaratibu wowote wa kuhakikisha kunakuwa na makato toka mishahara ya vingunge hao wa chama na serikali ili kulipa madeni yao ya bidhaa walizonunua kwa mkopo. Vingunge hao wote hawakufanya jitihada zozote za kulipa madeni hayo na hivyo faida ambayo SUKITA ilitegemea kuipata kutokana na kuuza bidhaa hizi haikuwepo na hivyo kuanza kula na mtaji wa biashara. Wafanyakazi wa ngazi za chini baada ya kuona loophole hiyo nao wakaanza wizi kwa kuchukua mali mbali mbali kwa mkopo pamoja na kuwa walikuwa hawana uwezo wa kumudu bei za bidhaa hizo na kuziuza kwa bei poa huko uraiani.

Na viongozi wa SUKITA waliogopa kuwashikia mabango vingunge hao kwa kuogopa kufukuzwa kazi na wakati huo vyombo vyetu vya habari vilikuwa havina uhuru wa kuandika kama leo hii, lakini hata leo hii pamoja na uhuru uliokuwepo bado majina ya vingunge waliochukua mikopo yente thamani ta shilingi milioni 200 bilioni toka CIS bado yanafanywa siri na baadhi ya vingunge hao wameshaanza kutumia vitisho kwa yeyote anayetaka kuwaanika hadharani.

Suji, Kangoka, Katibila, Kolos, na wengineo wote poleni kwa msiba mkubwa uliowafika jamani wa kuondokewa na Baba yenu mpendwa, Mama Suji pole sana kwa msiba mkubwa wa kuondokewa na mpendwa mumeo. Tunamuomba Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi na awape nguvu na faraja katika kipindi hiki kigumu kwenu~AMEN.
 
- Mungu amlaze pema peponi,

aliwahi kuwa Director wa DABCO ambayo aliiepeleka to the ground na kuiletea hasara kubwa sana serikali, lakini Kolimba akam-pick kuanzisha SUKITA ambako hata messenger alijenga nyumba ya kisasa, hasara iliyopatikana huko sidhani hata kama itakuja kusemwa wazi to the public, maana this SUKITA's thing was nothing but EPA, he was one of the untouchables wetu bongo yaani wachache walio juu ya sheria zetu, toka awamu ya kwanza mpaka hii ya nne.

Mungu amlaze pema peponi na pole sana kwa wafiwa hasa Mkulu Angel salam za heri kwa familia bro, poleni sana.

Respect.

FMEs!

akiwa kampuni ya sukita ambao ulikuwa mradi wa kifisadi wa chama ,ukitumika kulipia baadhi ya gharama za chama na matumizi binafsi ya kina kawawa,kolimba etc... SUKITA walikopeshwa na benki hata ikijulikana wazi kuwa hawawezi kulipa ......hata mradi wao wa pwagu na pwaguzi wa kujenga bwawa la samaki wa kufuga pale tabata ..........na hoteli ya kitalii ya nyota tano kwenye bonde la msimbazi [imagine jirani na kigogo...kati ya eneo la viwanda]....ulikuwa heavyily funded na mabenki....pamoja na kuwa wazi inajulikana kuwa ..eneo lile halifai kwa hoteli zaidi ya viwanda .....achilia mbali uchafuzi wa mto msimbazi na mafuriko ya mara kwa mara ..hakuna mgeni ambaye angefika kulala hata pakiwa pepo....kudhibitisha mradi ule ulikuwa wrong located hata baada ya sukita kufilisika ...ulishindwa kuvutia wanunuzi....lakini NBC na mabenki mengine yaliyokuwapo enzi hizo na wataalamu wao walikuwa wakipitisha mabilioni ya pesa kwa kigezo cha miradi aina hiii.....

wakati inakaribia kufunga milango deal kubwa ya kapinga na sukita kwa ujumla ilikuwa kupitusha mizigo ..ya wafanyabiashara kwa kutumia excemption [100%} waliyokuwa nayo.......na kulisababishia serikali hasara kubwa kwenye kodi............
 
akiwa kampuni ya sukita ambao ulikuwa mradi wa kifisadi wa chama ,ukitumika kulipia baadhi ya gharama za chama na matumizi binafsi ya kina kawawa,kolimba etc... SUKITA walikopeshwa na benki hata ikijulikana wazi kuwa hawawezi kulipa ......hata mradi wao wa pwagu na pwaguzi wa kujenga bwawa la samaki wa kufuga pale tabata ..........na hoteli ya kitalii ya nyota tano kwenye bonde la msimbazi [imagine jirani na kigogo...kati ya eneo la viwanda]....ulikuwa heavyily funded na mabenki....pamoja na kuwa wazi inajulikana kuwa ..eneo lile halifai kwa hoteli zaidi ya viwanda .....achilia mbali uchafuzi wa mto msimbazi na mafuriko ya mara kwa mara ..hakuna mgeni ambaye angefika kulala hata pakiwa pepo....kudhibitisha mradi ule ulikuwa wrong located hata baada ya sukita kufilisika ...ulishindwa kuvutia wanunuzi....lakini NBC na mabenki mengine yaliyokuwapo enzi hizo na wataalamu wao walikuwa wakipitisha mabilioni ya pesa kwa kigezo cha miradi aina hiii.....

wakati inakaribia kufunga milango deal kubwa ya kapinga na sukita kwa ujumla ilikuwa kupitusha mizigo ..ya wafanyabiashara kwa kutumia excemption [100%} waliyokuwa nayo.......na kulisababishia serikali hasara kubwa kwenye kodi............

- Ahsante Mkuu PM, maneno mazito sana mkuu! Lakini anyways Mungu amuweke pema peponi, hapa ni uwanja wa siasa kinachopita hapa lazima kiwe na siasa ndani yake, ndio maana ya ukumbi wa siasa.

- Unajua wanasema heri ukutane na kinyonga kuliko Chui aliyejivalisha ngozi ya kondoo, na siku akifahamika huhangaika sana kujaribu kujificha kumbe ameshajulikana huyoooooo! Naona CCM wana kazi kubwa kuficha maovu ya huko Sukita.

Respect.

FMEs!
 
- Ahsante Mkuu PM, maneno mazito sana mkuu! Lakini anyways Mungu amuweke pema peponi, hapa ni uwanja wa siasa kinachopita hapa lazima kiwe na siasa ndani yake, ndio maana ya ukumbi wa siasa.

Respect.

FMEs!

AMEEN.....kila nafsi itaonja mauti!! tumetoka mavumbini tutarudi mavumbini!!
 
Hapana kila mmoja ataenda kwa wakatiwake pia yeye alale kimya mbele ya mwenye haki miliki .
 
Mzee John Kolos Kapinga, atakumbukwa kwa wema na jumuiya ya waandishi wa habari enzi za Sukita kutokana na kuwashikisha mshiko wa nguvu. Kwa maoni yangu, nadhani sikuwahi tena kukutana na bahasha nene za mfano wa enzi za SUKITA!

Ni mtu mwenye roho nzuri ya dhati, mcheshi, na mchangamfu wakati wote. Mara ya mwisho nimemuona yapata wiki tatu zilizopita pale kanisa la Muhimbili kwenye msiba fulani, as usual he was smilling.

Mungu aiweke roho yake mahali pema peponi...

Amen.
 
RIP mzee Kapinga. Btw heading imekosewa kidogo should be read as formerly and not formally
 
Walioangalia ze komedi nyumbani alhamisi wanasema kati ya mambo waliyogusia wiki hii ni kuonesha miradi ya mamilioni ya SUKITA tabata ...ikiwa imesuswa....huku vibaka wakiyayafanya makazi yao... Waliendelea kutania kuwa wakurugenzi wa SUKITA wana bahati kuwa enzi inakufa hakukuwa na msamiati ufisadi kwani nao wangeishia Keko...

Sidhani kama kuzuka upya kwa kashfa ya SUKITA kunaweza kuwa kumepelekea mzee kupanda presha!!


Walioangalia na mardio pia wanaweza kudhibitisha juu ya komedi kuiongelea sukita wiki hii.....
 
Tumwombe Mungu amwonee huruma ampokee Mbingiuni kwenye Mikono Yake. Kifo cha ghafla kinasikitisha sana.

Si rahisi kukumbuka maisha na mchango wa Kapinga bila kukumbuka SUKITA. Nadhani SUKITA ni mojawapo ya vitu ambavyo vitapashwa kufanyiwa uchunguzi rasmi mara itakapowezekana (CCM wakiwekwa benchi).

Inasemekana sehemu ya biashara ya SUKITA ilikuwa kuagiza bia toka Kenya bila kulipa kodi. Ni uvunjaji mkubwa wa sheria. Na ikibidi walikuwa wanachukuliwa fedha moja kwa moja toka serikalini. Hata fedha za kuifilisi SUKITA inasemekana zimetoka serikalini.

Matatizo mengi ya utawala usiofuata sheria ambayo tunayo hayataweza kutatuliwa mpaka CCM ikae benchi kwanza.
 
"Mwenyezi Mungu Amlaze Mahali Pema Peponi,Marehemu... Sala na Ibada zetu zinaelekezwa kwa Ndugu, Jamaa na Marafiki wa Marehemu Kapinga katika kipindi hichi kigumu cha Maombolezo"
 
John Kolos Kapinga alikuwa FISADI MKUBWA yeye anaishi Kimara Stop-Over jirani na Hubert Kilato Memorium Hall.

Mtu huyu alisababisha hasara kubwa sana kwa SUKITA, Alikuwa mpenda ngono kwa kiasi cha kupitiliza, mlevi wa kupindukia, mgovi mwenye kiburi na majidai ya ajabu.

Baada ya kutoka SUKITA alikuwa mtaani akitaka kila mtu amtambue kwamba yeye ni kada wa Chama! Hakuna wa kubisha kuhusu hujuma kubwa aliyoifanya SUKITA.

Mwalimu Nyerere aliwahi kumwita na kumuuliza kulikoni huko SUKITA alimjibu kuwa mradi wa nguruwe ni haramu kwa wana CCM hivyo mazao mengine yatokayo huko hayapati soko kwa sababu tumechanganya na nguruwe, bora ufe tuendeleze ufugaji wa wanyama wengine na kuku. Hata hivyo akamwambia walaji na wauwaji walio wengi wa SUKITA ni member wa NEC.
Mwalimu alimjibu NEC ina waislamu pia, Iweje wao ndio wale kitu haramu?"

Kapinga akanywea.......
 
Jana nimepita kwenye bar yake cool breeze nimeona watu wanakata kinywaji kama kawa.
Lala salama mzee wetu.
 
Jana nimepita kwenye bar yake cool breeze nimeona watu wanakata kinywaji kama kawa.
Lala salama mzee wetu.

watakuwa walikuwa anapiga FOR THE MEMORY OF MZEE!

PUMZIKA BABU YANGU!nakumbuka nilikununulia grands wakati wa mechi kati ya taifa stars na msumbiji tulikuwa wite mbele kabisa pale KWENYE BIG-SCREEN yako pale,dah!
yaani Dah!

EE BWANA DAH!
 
Poleni sana ndugu wote na familia ya John K. Kapinga. Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.. Amen.
 
- Mungu amlaze pema peponi,

aliwahi kuwa Director wa DABCO ambayo aliiepeleka to the ground na kuiletea hasara kubwa sana serikali, lakini Kolimba akam-pick kuanzisha SUKITA ambako hata messenger alijenga nyumba ya kisasa, hasara iliyopatikana huko sidhani hata kama itakuja kusemwa wazi to the public, maana this SUKITA's thing was nothing but EPA, he was one of the untouchables wetu bongo yaani wachache walio juu ya sheria zetu, toka awamu ya kwanza mpaka hii ya nne.

Mungu amlaze pema peponi na pole sana kwa wafiwa hasa Mkulu Angel salam za heri kwa familia bro, poleni sana.

Respect.

FMEs!

Mzee John Kolos Kapinga, atakumbukwa kwa wema na jumuiya ya waandishi wa habari enzi za Sukita kutokana na kuwashikisha mshiko wa nguvu. Kwa maoni yangu, nadhani sikuwahi tena kukutana na bahasha nene za mfano wa enzi za SUKITA!

Ni mtu mwenye roho nzuri ya dhati, mcheshi, na mchangamfu wakati wote. Mara ya mwisho nimemuona yapata wiki tatu zilizopita pale kanisa la Muhimbili kwenye msiba fulani, as usual he was smilling.

Mungu aiweke roho yake mahali pema peponi...

Amen.

Tumwombe Mungu amwonee huruma ampokee Mbingiuni kwenye Mikono Yake. Kifo cha ghafla kinasikitisha sana.

Si rahisi kukumbuka maisha na mchango wa Kapinga bila kukumbuka SUKITA. Nadhani SUKITA ni mojawapo ya vitu ambavyo vitapashwa kufanyiwa uchunguzi rasmi mara itakapowezekana (CCM wakiwekwa benchi).

Inasemekana sehemu ya biashara ya SUKITA ilikuwa kuagiza bia toka Kenya bila kulipa kodi. Ni uvunjaji mkubwa wa sheria. Na ikibidi walikuwa wanachukuliwa fedha moja kwa moja toka serikalini. Hata fedha za kuifilisi SUKITA inasemekana zimetoka serikalini.

Matatizo mengi ya utawala usiofuata sheria ambayo tunayo hayataweza kutatuliwa mpaka CCM ikae benchi kwanza.

John Kolos Kapinga alikuwa FISADI MKUBWA yeye anaishi Kimara Stop-Over jirani na Hubert Kilato Memorium Hall.

Mtu huyu alisababisha hasara kubwa sana kwa SUKITA, Alikuwa mpenda ngono kwa kiasi cha kupitiliza, mlevi wa kupindukia, mgovi mwenye kiburi na majidai ya ajabu.

Baada ya kutoka SUKITA alikuwa mtaani akitaka kila mtu amtambue kwamba yeye ni kada wa Chama! Hakuna wa kubisha kuhusu hujuma kubwa aliyoifanya SUKITA.

Mwalimu Nyerere aliwahi kumwita na kumuuliza kulikoni huko SUKITA alimjibu kuwa mradi wa nguruwe ni haramu kwa wana CCM hivyo mazao mengine yatokayo huko hayapati soko kwa sababu tumechanganya na nguruwe, bora ufe tuendeleze ufugaji wa wanyama wengine na kuku. Hata hivyo akamwambia walaji na wauwaji walio wengi wa SUKITA ni member wa NEC.
Mwalimu alimjibu NEC ina waislamu pia, Iweje wao ndio wale kitu haramu?"

Kapinga akanywea.......
Kwa comments hizi nashindwa kuandika "RIP Kapinga...", sijui niandikeje?
 
Back
Top Bottom