Siku nyingine akija akikwambia ni yako mwambie ushawasha bluetooth akutumie iingie tumboni mwako
au akutumie whatsapp
JF imerudi angani bila kitufe cha like.
mambo mengine mnajitakia kwa kuendekeza tamaa za kipumbavu. Mbona ulipompata huku leta hapa tukusaidia leo yamekukuta ya kukuta ndio mbio hapa kwa kifupi sisi hatuna ushahidi wala kujutambua hio mimba ni yako au sio busara zitumike nyie ni watu wazima kaeni chini mzungumze ikiwezekana endelea na matunzo hadi mtoto atakapo zaliwa mpime dna. Vijana wenzangu mnanisikitisha sana yan mnakutana juu juu mnaenda mnasex bila hata kinga mara sijui changudoa... Hebu nenda hospital ukacheck na ukimwi na kwa sasa kupata mwanamke mwingine ambaye atakaa avumilie hizo drama na mama kijacho ni shidah...hebu vijana tutambue thamani ya miili yetu.
Habari zenu wandugu,
Naombeni mnisaidieni kwa hili.Kuna dada mmoja nilifahamiana nae katika pitapita za mjini kwa hulka yangu na matashi ya kimwili kuwa na matamanio nikawa nimempenda nae akawa amenielewa kwa haraka kuliko nilivyofikiri.Basi tuliyaongea tukayamaliza tukapanga meeting park at home kilichoendelea hapo tulifanya mapenzi, basi kuanzia siku hiyo akawa amenogewa sana kila siku lazima aje nyumbani.
Mahusiano yetu hayo yalidumu kwa mda wa wiki mbili na siku kama tatu hivi nikawa nimeyasitisha kutokana na majukumu yangu ya kikazi kutokwenda vyema kwa sababu yake.anataka nimuache nyumban kama mke alieolewa wakati mahusiano yenyewe hayana hata mwenzi, ilinibidi nimwambie pita zako hivi tusijuane sababu nilimlipa pesa.
Baada ya kuachana nikwa namuona mitaa flani ya kujiuza ndipo nilipogundua huyu dada ni Malaya mzoefu.Miezi miwili imepita sasa ananiambia ana mimba yangu ameng'ang'ana na kutangaza mitaani kwamba mimba yangu akija nyumbani ni fujo tu ananiletea hadi naona kero kiukweli huyu Dada simpendi nilikosea tu.
Naombeni ushauri.
Umeongea point ila sasa kitufe cha like hakipo jf bwanaaaa
Jamani wiki.mbili unakataa mimba c yako pole acha ujinga ww mchukue mtunze
ni miezi miwili imepita alafu ishtoshe sina mpango Wa kuwa na mtoto nje ya ndoa.Wiki mbili nyingi mno kama hujatumia ndom mimba insignia hata kwa robo saa tu
Usikute anakupa drama hana hata iyo mimba kama vipi mwambie mwende hospitali akapigwe ultra sound kijulikane mbichi na mbivu