Kapata kazi kanitupa


Duuuuuh!!! Kweli wanawake hawa!!! Na kama jamaa angempokea tu ingekula kwake!!
 
Toka nianze kusikia stori za tu kumsomesha mchumba,lazima jamaa atendwe yaani hii ni kama kanuni ya maisha ukiikiuka lazma ile kwako..

MCHUMBA HASOMESHWI
 
Fanya mpango mkuu umpe mimba iwe kumbukumbu kwako... maana hawa viumbe ni kinyonga.
 

Upo sahihi, alichokifanya huyo binti hata muumba wetu hawezi kukikubali na siku moja atamuonyesha kuwa alimkosea. Ila kumbuka LIKUEPUKALO LINA HERI NA WEWE.
 
Hata mkeo pia kujiachia jumla ni tatizo.Wang nlimpenda sana na bahati nzuri nlikuwa vema kipesa,matokeo yake nkiend kutafuta pesa ye aenda short time nje ya ndoa.Kustuka, nambebeleza aache huo mchezo, akaenda mahakamani kutaka talaka.Hawaaminiki hawa.
 

Pole sana wanawake mchawi wao ni mmoja
 

duh pole sana haya mambo ni mabaya sana vp lakini amerudi? maana wanadanganywaga baadae akili zikiwarudi wanakuja wanatembelea magoti
 
Tumia unguli wako umuondoe kazini kama umemuweka kumtoa simple
 
JFimenipa ujasir na ukatil fulan,m/mke hatakiw akuelew umeumia kias gn,keep on your own bro,pray hard,4gv&4get her(amen)
 
Pole sana zungumza naye ujue tatizo nini kwanini amebadilika
 
Pole sana, kwa uzoefu wangu, tuliza akili, iko siku. Hao pimbi wa aina hiyo tumeona wengi sana wanagonga mwamba.

Kweli mkuu... Akisha gonga mwamba atajileta na wakati huo wewe atakua below your standards.....
 
Hivi vilio tutazid kuvisikia sana kwa sababu watu hamuelewi MCHUMBA HASOMESHWI.
 
Huyo demu ni shenzi type sana.Ebu nipe no yake nimshauri akurudie.
 
Pole sana zungumza naye ujue tatizo nini kwanini amebadilika

Huyu dada hajabadilika, ila amekuwa "original". Ule Unyenyekevu ulikuwepo kwa sababu ya kutokuwa na kipato tu. She is showing her true colors
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…