Kapata four ya 26 anataka kusoma Course ya MARINE TRANSPORT & LOGISTIC

Kuna kijana wangu kapata four ya 26 anataka kusoma Course ya MARINE TRANSPORT & LOGISTIC.
Wajuzi wa hii Course naombeni uzoefu wenu ktk soko la ajila.

Nawasilisha
Hiyo kozi ya ubaharia. Mwanao anataka kuwa baharia. Ajira zake ni mpaka usubiri mamlaka ya kudhibiti usafiri majini itangaze au shirika la meli TZ yaani TASAC watangaze. Sasa kwa mtazamo wako ajira za mambo ya meli mara ya mwisho walitangaza lini? Kwa ushauri wangu mwambie aachane nayo akasome kitu kingine kama IT maana unaweza kujiajiri hata usipoajiriwa.
 
Hiyo kozi ya ubaharia. Mwanao anataka kuwa baharia. Ajira zake ni mpaka usubiri mamlaka ya kudhibiti usafiri majini itangaze au shirika la meli TZ yaani TASAC watangaze. Sasa kwa mtazamo wako ajira za mambo ya meli mara ya mwisho walitangaza lini? Kwa ushauri wangu mwambie aachane nayo akasome kitu kingine kama IT maana unaweza kujiajiri hata usipoajiriwa.
Ahsante mkuu
 
Yeye mwenyewe mimi sijuagi hayo mambo ya bandari
Lakini sasa ni wakati umefika pia kama mzazi/mlezi jitahidi uanze kujifunza kujua hizi mambo.
Mimi kijana wangu mwaka juzi hakufanya vizuri sana kidato cha nne, then akatamani kusomea MARINE courses. Then nilikaanae nikamwambia advantage na disadvantages zake, mwisho nikamshauri aanzie veta akasome MTM course kwa miaka miwili, then ataomba Diploma kusomea MECHANICAL engineering ambayo kwake itakua nzuri kwa kuanzia ama kujiajiri na kuajiriwa pia.
Saizi anaendelea njema na masomo anayafurahia pia amekua ananipa mipaango yake ya baadae, hii ikinionyesha kwamba kijana ameanza kuiandaa future plan yake.
 
Mwache asome hyo kozi,, utakuja kunishukuru baadae.

Huyo Ni future season
Mkuu, ebu unapo mshauri mtu jaribu kutuambia advantage na disadvantages ili nasisi ama wengine wajifunze pia.
Kumbuka hapa kuna wazazi na wanafunzi ambao wanapitia maoni ili kupata kujifunza kwaajili ya mustakabali wa maisha yao.
Sasa unapo shauri usishauri kwa utashi wako ama usishauri kwa mahaba ya kitu unacho kupenda wewe, better weka good and strong reasons.
 
Lakini sasa ni wakati umefika pia kama mzazi/mlezi jitahidi uanze kujifunza kujua hizi mambo.
Mimi kijana wangu mwaka juzi hakufanya vizuri sana kidato cha nne, then akatamani kusomea MARINE courses. Then nilikaanae nikamwambia advantage na disadvantages zake, mwisho nikamshauri aanzie veta akasome MTM course kwa miaka miwili, then ataomba Diploma kusomea MECHANICAL engineering ambayo kwake itakua nzuri kwa kuanzia ama kujiajiri na kuajiriwa pia.
Saizi anaendelea njema na masomo anayafurahia pia amekua ananipa mipaango yake ya baadae, hii ikinionyesha kwamba kijana ameanza kuiandaa future plan yake.
Sahihi kaka wazazi/walezi wengi tunafeli hapo
 
Mkuu, ebu unapo mshauri mtu jaribu kutuambia advantage na disadvantages ili nasisi ama wengine wajifunze pia.
Kumbuka hapa kuna wazazi na wanafunzi ambao wanapitia maoni ili kupata kujifunza kwaajili ya mustakabali wa maisha yao.
Sasa unapo shauri usishauri kwa utashi wako ama usishauri kwa mahaba ya kitu unacho kupenda wewe, better weka good and strong reasons.
Course hyo Ni future seaman,,

Kwa sasa Kazi za meli zina opportunity nyingi Sana nje ya nchi..

Ndy Kazi zenye future ya haraka haraka Sana kwa sasa.
 
Course hyo Ni future seaman,,

Kwa sasa Kazi za meli zina opportunity nyingi Sana nje ya nchi..

Ndy Kazi zenye future ya haraka haraka Sana kwa sasa.
Naona wewe ndio umejua leo kwamba kazi ya meli ina opportunities nyingi offshore.
Ngoja kidogo nikuelimishe.... hakuna kazi ya hovyo duniani kama kazi za meli kwasababu hakuna chochote unacho weza ukakifurahia zaidi ya kupata pesa na starehe.
Watubwengi walio panda melini mwisho wao umekua mbaya sana kwasababu wengi walijikuta hawaja settle makazi (home). Wengi walijikuta wakitumia miaka mingi kwenye meli na leo hawana familia. Wengi walishindwa kuishi na wake zao na badala yake maisha mengi wakayatumia melini na starehe.
Mkuu, kupata pesa pekee haitoshi kumpa mwanadam furaha. Na pesa bila kua na familia bora maanayake hiyo pesa haikusaidii.
Naona wewe umeangalia ubaharia kwa upande mmoja tu ambao ni pesa.
Binafsi niliwahi kukaa baharini kwa miezi kama 6 hivi kwa wakati ule nilikua nafanya job kwenye kampuni moja ya utafiti wa mafuta, mwisho wa siku nilipata pesa lakini niliharibu familia na kikabaki kua singo baba.
Naomba niishie hapa.
 
Back
Top Bottom