Kitu_Kizito_Kichwani
JF-Expert Member
- Sep 8, 2010
- 204
- 133
unatafuta kupigwa mkia wewe
kuna mdada tupo nae ofis moja , yy kaolewa mi sijaoa na sina mchumba wa kueleweka, YY kila wakati huwa anataka amfaham mchumba wangu, ila kwa sababu tunaheshimiana nilimwambia ukweli sina mchumba wa uhakika, ila kuna mahali huwa nazjipooza hali ikiwa mbaya.Haikuwa taabu ila sasa hiv kaja kivingine mara ananiambia mi mtoto mdogo sana siwez mambo hata akinipa nitachemsha mi nikafikir ni masihara, ila sasa hiv anataka kabisa nikampe majamboz, sasa nifanyeje? niuchune au nimwonyeshe kuwa mi ni kijogoo?wana jf naomben mchango wenu
<br />Wamesema,<br />
1. "Mke wa mtu ni sumu"<br />
2. "Kula Uliwe"<br />
3. Utapigwa mkia.<br />
4. "we kula tu lakini ukikamatwa mie simo"<br />
<br />
Mie nadhani mkuu onesha uanaume wako kuwa unamsimamo, uanaume sio kujirahisi kiivo, kumbuka "majuto ni mjukuu" Achana na huyo shetani wa kike atakuhamisha mji wakati bado unaupenda...
<br />Shika lapa mkononi..<br />
Kunja miguu ya suruali.<br />
Kata mbuga.. ... <br />
<br />
Acha kumchekea chekea...
afu unaweza kuta huyo mdada ni mke wa mwana JF hapa,afu huyo mwana JF bila kujua anakushauri we piga tu dogo Hahaaaaaaaaaaaa...Me nasema hivi we piga kijana (sijaoa infact)
<br />Kwani we huna misimamo yako na misingi ya maisha yako uliojiwekea? Swali kama hili hukupaswa kuliuliza humu utajichanganya bure afu mwisho wa siku useme ulishauriwa...