Kanzu/baibui liwe vazi la taifa

Kanzu/baibui liwe vazi la taifa

Makafiri kwao motoni tu watakutana na mtume paulina
 
Sisi wanazuoni tunapendekeza Kanzu/ Baibui liwe vazi la taifa Tanzania na itajwe wazi kwenye KATIBA MPYA. FULL STOP.
Utakuwa mwanachooni wewe, sababu ya kimsingi nini ili hilo lifanyike? au ndo unataka kuficha mabomu na tindikali kiurahisi?
 
Mungu anisamee kama kuna atakae kwazika.Nikikutana na mwanamke amevaa ivo barabarani hasa seemu ambayo watu wengi awapiti naingiwa uwoga wa ajabu.

Hakuna haja ya kuoomba msamaha mkuu.
Hao jamaa wavalia hivo nikikutana nao hata sehemu yenye watu wengi ndio imani yangu inaporomoka kwa kasi zaidi.
Bora hata nikutane nae uchochoroni maana hawezi kuwasha bomu kwa ajili ya roho moja.
Ila sehemu ya mkusanyiko akitokea chapa laba fasta wanaitafuta pepo hao hawakawii kulilipua hadharani.
 
Mungu anisamee kama kuna atakae kwazika.Nikikutana na mwanamke amevaa ivo barabarani hasa seemu ambayo watu wengi awapiti naingiwa uwoga wa ajabu.

Lazima uingie uwoga maana tangu ukiwa mdogo unajazwa fikra za chuki juu ya mavazi hayo mavazi na kuambiwa eti watu hawa wana majini....lengo limetimia
 
huo ni wendawazimu,Tanzania bila Islam inawezekana na Tanzania bila ukristo haiwezekani.
 
Mtakubali tuingie nazo BAR? kwenye KITIMOTO?

Marehemu Mwanyiro alipopanda jukwaani kupiga dansi na kanzu karibu auwawe!

mwanyiro.jpg
 
tusipende kujaza server kwa mawazo yasiyo na tija kwa watu watanzania. Vazi lenyewe mmepest na kukopy, then liwe la taifa. Pili watanzania tulishazoea kuonana sura, Sehemu yote ya kichwa. Acha tulivyo tuwe hivihivi
 
Back
Top Bottom