Kanzu/baibui liwe vazi la taifa

Kanzu/baibui liwe vazi la taifa

Tukishamaliza hiyo hatua itafuata kama hiyo kwenye picha.
Hapo ni Ferry upande wa kigamboni
 

Attachments

  • 20140325_062345.jpg
    20140325_062345.jpg
    262.1 KB · Views: 171
Huu ni ukichaa wa mchana,serikali haina dini,hayo mawazo yako pelekea kwa wapumbavu wenzako,sababu kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kuandika upuuzi kama huu.
 
No Tumekataa haiwezekani tafuta Mavazi mengine bwana nchi yetu ni NON SECULAR STATE.
 
Sisi wanazuoni tunapendekeza Kanzu/ Baibui liwe vazi la taifa Tanzania na itajwe wazi kwenye KATIBA MPYA. FULL STOP.

Muda wa kutoa mapendekezo uliisha na sasa inajadiliwa Rasimu ya Pili katika Bunge Maalum la Katiba. Wanazuoni walitakiwa wapeleke mapendekezo yao katika Tume ya Marekebisho ya Katiba.
 
To be an imbecile takes less than a second and the whole world gets to know you.
 
Mbona hili vazi la kanzu viongozi wa kitaifa wanavaa

Hata mkapa,lowasa,mwinyi kikwete hili vazi linafaa

Kwanin kikwete hakulizungumza kwenye hotuba yake?

Unataka kutuambia kikwete anauwezo wa kumchagulia mtu dini? Wacha kila mtu abaki nadini yake na vazi lake.
 
Tofauti yetu na Waarabu itakuwa vipi?

Nani aliyekuambia tofauti ya waarabu na sisi watanzania ni kanzu/baibui?, acha kupotosha watu kwa mitazamo isiyo sahihi. Zipi tofauti zetu na wazungu?
 
sasa ubalozi wa marekani tutaingiaje
 
Nyie vipi? Mwenzenu katoa maoni mnaanza kumtukana,toeni na nyie ya kwenu sio kumkandia.
 
Back
Top Bottom