LOOOK
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 3,468
- 812
Sisi wanazuoni tunapendekeza Kanzu/ Baibui liwe vazi la taifa Tanzania na itajwe wazi kwenye KATIBA MPYA. FULL STOP.
Kimaadili naunga mkono hoja 1000% ila sasa kwa inshu za udini zinazo nukia nukia !!itakuwa inshu.