Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 26,136
- 34,108
Sukulijua hilo, nashukuru kunijuza.Nimekupata vizur sana ndugu,, napia kufanya mazoez excess yanaweza kusababisha ukapoteza uwezo nakuilegeza msuli yahuko
Hiyo ya Kitunguu swaumu, tangawizi + asali mimi nilijaribu na kweli niliona tofauti kabisa. Niliviblend kwa pamoja nikanywa juice yake asubuhi kabisa kabla ya chai.