"kanumba alikuwa na umbile zuri"JK

"kanumba alikuwa na umbile zuri"JK

yahoo

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2011
Posts
3,526
Reaction score
1,410
Hayo aliyasema alipokwenda kuifariji familia ya kanumba.Hivi ni nani aliyetuchagulia huyu raisi,Raisi gani anasifia wanaume wenzie.:yell:
 
Raisi ya Jamhuri ya Muungano. Kazi kweli kweli kama ni kweli.
 
nafurahi kama alitamka hayo, maana hii ni uthibitisho tosha kwamba rais wetu ndio wa kiwango hicho, kwanza sioni hata kama alitakiwa kwenda sinza, si angetuma tu salam au mwakilishi jamani.

hebu niambieni, obama alikwenda kwenye msiba wa whitney houston halafu ndio niendelee kukomenti
 
Well quoted 'niliwaalika nyumbani kwangu tukala pamoja chakula.....alikuwa na umbile zuri' He meant to say Kanumba was 'HANDSOME' kiswahili jiwe...kigumu jamani eeh, mh!!!
 
...mambo ya pwani yanachanganya..........
 
ukifika kwa mtu mwemye huzuni kawaida unahuzunika nae kwanza ndipo unamfariji, unaeza kuhuzunika kwa kumwambia (ni kweli alikua mdogo kimri, alikuwa mpole, mwenye kusaidia, mtanashati, n.k
kwa upande wangu, Mhe. Rais alivyosema alikuwa na umbile zuri, ilikuwa na maneno ya kufarijiana tu,
Ukiwa na mtazamo hasi juu ya mtu kila kitu anachofanya au kusema unaweza ona si kizuri.
Sometime lets look/hear things in a positive eye/ear
 
ukifika kwa mtu mwemye huzuni kawaida unahuzunika nae kwanza ndipo unamfariji, unaeza kuhuzunika kwa kumwambia (ni kweli alikua mdogo kimri, alikuwa mpole, mwenye kusaidia, mtanashati, n.k
kwa upande wangu, Mhe. Rais alivyosema alikuwa na umbile zuri, ilikuwa na maneno ya kufarijiana tu,
Ukiwa na mtazamo hasi juu ya mtu kila kitu anachofanya au kusema unaweza ona si kizuri.
Sometime lets look/hear things in a positive eye/ear
sis tunaangalia alichokisema na sio tafsiri zako.Ushawahi kumsikia mwanaume anmsifia mwanamme mwenzie kwa kusema "fulani mzuri".hata kwa mwamme ambaye hajasoma hilo neno ni invalid.ungemfundisha kutumia neno "tanashati kabla hajaenda kwenye msiba broo!:rant:
 
ukitaka kula lazima uliwe.:nod:
 
ukifika kwa mtu mwemye huzuni kawaida unahuzunika nae kwanza ndipo unamfariji, unaeza kuhuzunika kwa kumwambia (ni kweli alikua mdogo kimri, alikuwa mpole, mwenye kusaidia, mtanashati, n.k
kwa upande wangu, Mhe. Rais alivyosema alikuwa na umbile zuri, ilikuwa na maneno ya kufarijiana tu,
Ukiwa na mtazamo hasi juu ya mtu kila kitu anachofanya au kusema unaweza ona si kizuri.
Sometime lets look/hear things in a positive eye/ear

Searching...100%
Loading...100%
Network Connected !
 
Back
Top Bottom