Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,741
- 3,315
- Thread starter
- #61
Basi aachane namimi sio daily kuniganda ganda na vimeseji vyake.Ameshakusahau kama mlinyanduana maan hukumfanya vzr mkuu
Basi aachane namimi sio daily kuniganda ganda na vimeseji vyake.Ameshakusahau kama mlinyanduana maan hukumfanya vzr mkuu
Kama ulishamla uchi wake huwa sionagi tabu. Huwa hawasemagi ila hata wao kuchezewa chezewa na kupotezewa huwa inawauma.Nlishamla kama miaka miwili imepita so tukawa tumepotezeana baadae akarudi nikaona poa ngoja tuendeleee ila sasa ndo mapicha picha kama hivi.
Huwa najua sana kudefense,So hata kama akiamua kuniacha ni kama nimemuacha tu.Kama ulishamla uchi wake huwa sionagi tabu. Huwa hawasemagi ila hata wao kuchezewa chezewa na kupotezewa huwa inawauma.
Cha muhimu tu wewe uwe ndio ulimuacha. Hapa hiwa sifanyagi makosa usisubiri kuachwa
Hapo sawa. Cha muhimu tusiwanyenyekee hawa viumbeHuwa najua sana kudefense,So hata kama akiamua kuniacha ni kama nimemuacha tu.
Hahah mkuu hawa viumbe wakiona tu una mtonyo bas lazma akugande so cha msingi tuishi nao kwa akili sanaa la sivyo watatukimbiza sanaaBasi aachane namimi sio daily kuniganda ganda na vimeseji vyake.