Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,741
- 3,315
- Thread starter
- #21
Nishamla siku za nyuma tukaachana baadae tukawa tumerudiana ila sasa kurudiana kwenyewe ndo huko nshakua mpenzi wa kwenye simu.Kama unataka kumla jibu usionyeshe kususa
Kwan kakuomba pesa, be a man
Ipo siku atajichanganya tu, kuna mademu wengine wameumizwa sana so wanakupima hata miezi sita

yani hadi sasa mwanamke hujalala, au jamaa ndo anakoroma hapo pembeni.

.