Kanisani Pekupeku

Kanisani Pekupeku

ukikusanya masharti yote ya madhehebu ya kikristo unapata uislam(maana kuna wanaokataza pombe kabisa-walokole,kuna wanaovaa kama masista-katoliki na kuchoma ubani,kuna wanaovua viatu,kuna wasiokula kitimoto-wasabato,kuna wanaofunga na kuhiji etc)hivyo vyote kwa pamoja uislam hutekelezwa
Mwislamu gani hali kitimoto? Una uhakika? Mbona huku kwetu tunachuana nao kunyang'anyana vidari vya kitimoto?!
 
Mwislamu gani hali kitimoto? Una uhakika? Mbona huku kwetu tunachuana nao kunyang'anyana vidari vya kitimoto?!
Hivi ukizini na mkristo maana yake ni kwamba ukristo unaruhusu uzinzi? Katika kundi la mamba kenge hawakosekani
 
Back
Top Bottom